Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,515
- 4,230
Habari wakuu,
Naomba kuuliza swali moja, Endapo mwanamke atakutana na mwanaume kati ya siku ya 11,12,13 au 14 Na kisha siku ya 15 na 16 akakutana na mwanaume mwingine, yupi ana uwezekano mkubwa wa kuwa mhusika wa mimba?
Ahsante
Naomba kuuliza swali moja, Endapo mwanamke atakutana na mwanaume kati ya siku ya 11,12,13 au 14 Na kisha siku ya 15 na 16 akakutana na mwanaume mwingine, yupi ana uwezekano mkubwa wa kuwa mhusika wa mimba?
Ahsante