Je, Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu mwanachama kutangaza nia ya Urais?

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Narudisha swali hili kwa wanaChadema kindakindaki ....!!

Je muda wa kutangaza nia za kugombea urais ndani ya Chama umefunguliwa?

Nauliza hivi kwa kuwa kuna mwanachama aloyetangaza nia akiwa kwa wakoloni wetu ikiwa ni mara ya kwanza katika historia ya Chadema kwa mwanachama wake kutangaza nia akiwa nje ya nchi na mapema kabla hhata mchakato wa jambo hilo kuanza ndani ya chama chake.

Je fursa za wanachadema wengine kugombea urais ndio zimefungwa rasmi?

Iko wapi demokrasia ndani ya Chadema?

Screenshot_2019-01-17-20-24-03.png
Screenshot_2019-01-17-20-23-41.png
 
Hakuna ubaya kutangaza nia ya kugombea uraisi

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Hakuna ubaya kutangaza nia ya kugombea uraisi

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Sijasema kuna ubaya bali hakuna jambo lisilosimamiwa na taratibu za kikatiba za taasisi husika.
 
Wapi alipotangazia nia ya kugombea uraisi???

Hivi ni kiswahili kigumu au tunajitoa ufahamu wa kupindisha alichozungumzia TAL??

Tundu lisu hakwenda BBC kusema nimekuja hapa kuutangazia Uma ya kwamba 2020 nitagombea uraisi , ameenda pale kwa mahojiano na katika maswali aliyoulizwa mojawapo ni je, " je upo tayari kugombea uraisi 2020"??

Lisu amejibu vizuri tu, kama nitachaguliwa na vikao halali vya chama changu na vyama vinavyounda umoja wa ukawa yupo tayari kufanya hivyo. Kwa jibu hili la TAL huhitaji cheti cha lasaba kutafakari kuwa katangaza nia au kajibu swali la mwandishi wa habari.
 
Wapi alipotangazia nia ya kugombea uraisi???

Hivi ni kiswahili kigumu au tunajitoa ufahamu wa kupindisha alichozungumzia TAL??

Tundu lisu hakwenda BBC kusema nimekuja hapa kuutangazia Uma ya kwamba 2020 nitagombea uraisi , ameenda pale kwa mahojiano na katika maswali aliyoulizwa mojawapo ni je, " je upo tayari kugombea uraisi 2020"??

Lisu amejibu vizuri tu, kama nitachaguliwa na vikao halali vya chama changu na vyama vinavyounda umoja wa ukawa yupo tayari kufanya hivyo. Kwa jibu hili la TAL huhitaji cheti cha lasaba kutafakari kuwa katangaza nia au kajibu swali la mwandishi wa habari.
Kesho lowassa akihojiwa na kutangaza nia yake kama alivyofanya lissu itakuwa sawa?
 
Narudisha swali hili kwa wanaChadema kindakindaki ....!!
Je muda wa kutangaza nia za kugombea urais ndani ya Chama umefunguliwa?
Nauliza hivi kwa kuwa kuna mwanachama aloyetangaza nia akiwa kwa wakoloni wetu ikiwa ni mara ya kwanza katika historia ya Chadema kwa mwanachama wake kutangaza nia akiwa nje ya nchi na mapema kabla hhata mchakato wa jambo hilo kuanza ndani ya chama chake.
Je fursa za wanachadema wengine kugombea urais ndio zimefungwa rasmi?

Iko wapi demokrasia ndani ya Chadema?
Chadrama wasahau kushika nchi walahi, wacha wapige kelele tu walahi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi alipotangazia nia ya kugombea uraisi???

Hivi ni kiswahili kigumu au tunajitoa ufahamu wa kupindisha alichozungumzia TAL??

Tundu lisu hakwenda BBC kusema nimekuja hapa kuutangazia Uma ya kwamba 2020 nitagombea uraisi , ameenda pale kwa mahojiano na katika maswali aliyoulizwa mojawapo ni je, " je upo tayari kugombea uraisi 2020"??

Lisu amejibu vizuri tu, kama nitachaguliwa na vikao halali vya chama changu na vyama vinavyounda umoja wa ukawa yupo tayari kufanya hivyo. Kwa jibu hili la TAL huhitaji cheti cha lasaba kutafakari kuwa katangaza nia au kajibu swali la mwandishi wa habari.
Akili zao fupi,hawawezi kuelewa!
 
Wapi alipotangazia nia ya kugombea uraisi???

Hivi ni kiswahili kigumu au tunajitoa ufahamu wa kupindisha alichozungumzia TAL??

Tundu lisu hakwenda BBC kusema nimekuja hapa kuutangazia Uma ya kwamba 2020 nitagombea uraisi , ameenda pale kwa mahojiano na katika maswali aliyoulizwa mojawapo ni je, " je upo tayari kugombea uraisi 2020"??

Lisu amejibu vizuri tu, kama nitachaguliwa na vikao halali vya chama changu na vyama vinavyounda umoja wa ukawa yupo tayari kufanya hivyo. Kwa jibu hili la TAL huhitaji cheti cha lasaba kutafakari kuwa katangaza nia au kajibu swali la mwandishi wa habari.
heri wewe ndiyo umeeleweka sio wengine

#WAHUNI SIO WATU WAZURI
 
Kesho lowassa akihojiwa na kutangaza nia yake kama alivyofanya lissu itakuwa sawa?
Basi mkuu utangazaji nia wa kugombea uraisi wa safari hii utakuwa wa aina yake.

Hata mama Samia Hassan akiulizwa je upo tayari kugombea uraisi? Na akajibu yupo tayari basi atakuwa katangaza nia?

Nijuavyo mtu akitangaza nia, anakuja na sera zake, anakuja na mission na vission zake za miaka labda mitano mbele, anakuja na maelezo yaliyojitosheleza kama tulivyoona 2015 walivyofanya JANUARY MAKAMBA, MEMBE, MWIGULU NCHEMBA NA WENGINE, na si kutangaza nia kwa swali la mwandishi wa habari ambae anahitaji jibu la swali lake kujibiwa.
 
Basi mkuu utangazaji nia wa kugombea uraisi wa safari hii utakuwa wa aina yake.

Hata mama Samia Hassan akiulizwa je upo tayari kugombea uraisi? Na akajibu yupo tayari basi atakuwa katangaza nia?

Nijuavyo mtu akitangaza nia, anakuja na sera zake, anakuja na mission na vission zake za miaka labda mitano mbele, anakuja na maelezo yaliyojitosheleza kama tulivyoona 2015 walivyofanya JANUARY MAKAMBA, MEMBE, MWIGULU NCHEMBA NA WENGINE, na si kutangaza nia kwa swali la mwandishi wa habari ambae anahitaji jibu la swali lake kujibiwa.
Nadhani shida ya mleta mada ni kwenye urais,basi!Sidhani kama mleta mada angeleta mjadala huu kama mwandishi angemuuliza kama Yuko tayari kugombea ubunge 2020,na akajibu yuko tayari!Yaani sijui wanataka Jiwe agombee peke yake au nini!
 
Back
Top Bottom