Je, Kassim Majaliwa ni mwenye bahati ya kuwa Waziri Mkuu kwa miaka 15 kuanzia 2015 hadi 2030?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,471
Yawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.

Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.

Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.

Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki Waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.
 
Time will tell as long as Samia atagombea na kushinda.
 
Yawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.

Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.

Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.

Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.

Mikumi Tena kwa SSH.
 
Yawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.

Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.

Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.

Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki Waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.
Waziri Mkuu haendani na Uchaguzi Mkuu. Anabadilishwa wakati wo wote Rais akijisikia hivyo: iwe baada ya Uchaguzi Mkuu au katikati ya Awamu iliyoko madarakani.
 
Yawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.

Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.

Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.

Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki Waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.
Majaliwa ... Rais ajaye???
 
Kumbe safu imeshapangwa ya 2025-2030

1. Rais Samia
2. Waziri mkuu Majaliwa
3.Spika ?
4. Waziri wa fedha ?

Hata uchaguzi haujafika mkuu umeshapanga safu. Tekelezeni kwanza ilani. Wananchi wanataka maendeleo
 
Yawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.

Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.

Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.

Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki Waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.
Huyu hata hii miaka 5 hamalizi,maza anamlia timing atamla kichwa so soon
 
Yawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.

Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.

Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.

Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki Waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.
Madai yako hayana mashiko kwa sasa. Ngoja wakati ufike tutajua
 
Back
Top Bottom