Wana ufufuo popote mlipo mfanye kama mnajikuna tuwaone tasafali,na mlijibu swali la mdau🤔Wadau kuna KANISA KUBWA la Mabati pale Ubungo jirani na Ghorofa za TANESCO LIMEANDIKWA Kanisa la UFUFUO. Miaka ya Nyuma NASIKIA lilikuwa linatoa HUDUMA ya KUFUFUA Watu WALIOKUFA je Bado linatoa HUDUMA hiyo au Limeacha?Mwenye Taarifa atujuze.
Nadhani alikuwa Gwajima yule anafufua watu.Wadau kuna KANISA KUBWA la Mabati pale Ubungo jirani na Ghorofa za TANESCO LIMEANDIKWA Kanisa la UFUFUO. Miaka ya Nyuma NASIKIA lilikuwa linatoa HUDUMA ya KUFUFUA Watu WALIOKUFA je Bado linatoa HUDUMA hiyo au Limeacha?Mwenye Taarifa atujuze.
Wadau kuna KANISA KUBWA la Mabati pale Ubungo jirani na Ghorofa za TANESCO LIMEANDIKWA Kanisa la UFUFUO. Miaka ya Nyuma NASIKIA lilikuwa linatoa HUDUMA ya KUFUFUA Watu WALIOKUFA je Bado linatoa HUDUMA hiyo au Limeacha?Mwenye Taarifa atujuze.
Wanafufua watu au akili? 🤣Wadau kuna KANISA KUBWA la Mabati pale Ubungo jirani na Ghorofa za TANESCO LIMEANDIKWA Kanisa la UFUFUO. Miaka ya Nyuma NASIKIA lilikuwa linatoa HUDUMA ya KUFUFUA Watu WALIOKUFA je Bado linatoa HUDUMA hiyo au Limeacha?Mwenye Taarifa atujuze.