Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?


Sa mbona anasemaga watu wamchangie,tena watu wenyewe wauza mahindi ya kuchoma, maandazi ndio wanajitoa kumsaidia.Je hela unazozungumzia wewe ni zipi? hizi zenye namba 500, 1000, 2000, 5000 na 10,000 ama zipi maana zenye hizi namba ndio anapitisha bakuli
 
huwa sio fan wa makanisa ya kiroho, but Mwakasege yuko level nyingine:

hata kama anahubiri kuhusu pesa; ila anakuwa na back up inayoeleweka, he talks sense mara nyingi.

Kitu nisichoelewa huwa ni kutoa mapepo.

Ni Dr (Phd) wa uchumi, anachofanya ni ku simplify matheory ya uchumi ili mtu wa kawaida aelewe, then......anapiga hela !
 
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?

Mwakasege ni mwinjiristi, kazi yake kubwa ni kuihubiri injiri kwa mataifa na sio mchungaji yeye pia ana mchungaji wake anaye mchunga kwa hiyo hamiliki kanisa, lakini anaweza kua na kipaji cha uchungaji pia na unabii hata utume ana weza kua nao. na hata karama za kuombea wagonjwa anaweza kua nazo.
 
Mungu amesema Israel ni mtoto wake wa kwanza kasome Kutoka 4:22. Na Mungu kasema atawabariki watakaobariki Israel na kuwalaani watakaoilaani kasome Mwanzo 12:3. Unajua anaposema Isrel anamaanisha taifa la Israel na sisi wengine tunaoamini tunachukua hizo baraka za Israel kupitia Yesu Kristo. Nasi tunafanyika kuwa wana wa Mungu. Ni muhimu kwenda Israel kulibariki hilo taifa teule la Mungu.
 

Biblia inasema tutoe sadaka
sasa unataka watu wasitoe sadaka?
Hizo sadaka zinatumika kwenye uendeshaji wa hizo semina maana zinahitaji gharama
kumbuka yeye hana kanisa kwa hiyo kila anapokuwa inabidi atengeneze hema na kukodi viti na vitu vingine vinavyohitaji gharama!
BTW!
Kama unataka kumuelewa vizuri inabidi uwe mtu wa rohoni maana mambo ya kiroho kuyatafsiri ni ngumu kama unataka kuyatafsiri kimwili!
 
wooooote ni walewale binafsi mtu ninayemkubali ni FR. DR TITUS AMIGU MTAALAMU WA BIBLIA KUTOKA PERAMIHO SEMINARY
 

thibitisha maneno yako ili tukuamini la sivyo tutakuchukulia wewe kama mzushi mwongo na mfitini.
Mungu na akuhurumie
 
Arusha.

Ni maombi au kitu kingine? Mpeleke mgonjwa wako kwa kakobe au mzee wa hammer pale ubungo chaibora-nyumba ya ufufuo na uzima
Mkuu huyo mzee wa hammer amehamia Kawe viwanja vya Tanganyika Packers.
 
Ndio maana anahubiri kuhusu pesa na back up ya baibo, na mbado he talks sense

Sasa watu hawataki kufundishwa ujasiriamali in connection na dini, wanataka tutoane mapepo tuuu

Sina tatizo na yeye kupiga hela, anawaconvince watu hadi wanatoa wenyewe.

Ni Dr (Phd) wa uchumi, anachofanya ni ku simplify matheory ya uchumi ili mtu wa kawaida aelewe, then......anapiga hela !
 
wadau wanauliza, ni kwa nin anazunguka mikoa ile ile tu? au ndo iliyo na watu wanaoitaj kufafanuliwa biblia tu? Toa hoja melech usizunguke mbuyu,
 
Last edited by a moderator:


............hapo ni chenga ya mwili ! ........kama unapiga ! .....kumbe unatoa pasi !:wave:
 
To the Law and to the Testimony, If they don't speak according to this word, it is because there is no light in them! Isaiah 8:20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…