PostGE2025 Je, kama CHADEMA wangeshiriki uchaguzi MO29 ingekuwepo?

PostGE2025 Je, kama CHADEMA wangeshiriki uchaguzi MO29 ingekuwepo?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Hili swali najiuliza Sana, kama CHADEMA wangeamua kushiriki uchaguzi na hii bogus INEC je maandamano ya October 29, yangetokea?

Katika kitu kiliwaudhi Sana CCM ni Chadema kujitoa kushiriki kiini macho Cha uchaguzi. Matokeo yake kilichotokea tarehe 29 Kila mtu anakijua.

Je chaguzi zijazo like 2030, 2035 CCM watakubali Tena kuingia kwenye uchaguzi mkuu bila Chadema?

Karibu.
 
Hili swali najiuliza Sana, kama CHADEMA wangeamua kushiriki uchaguzi na hii bogus INEC je maandamano ya October 29, yangetokea?

Katika kitu kiliwaudhi Sana CCM ni Chadema kujitoa kushiriki kiini macho Cha uchaguzi. Matokeo yake kilichotokea tarehe 29 Kila mtu anakijua.

Je chaguzi zijazo like 2030, 2035 CCM watakubali Tena kuingia kwenye uchaguzi mkuu bila Chadema?

Karibu.
inavyoonekana CHURA KIZIWI na waliomtuma sasa wamelewa nguvu ya CDM kuwa ni zaidi ya kumlambisha Asali MBOWE!
 
Hili swali najiuliza Sana, kama CHADEMA wangeamua kushiriki uchaguzi na hii bogus INEC je maandamano ya October 29, yangetokea?

Katika kitu kiliwaudhi Sana CCM ni Chadema kujitoa kushiriki kiini macho Cha uchaguzi. Matokeo yake kilichotokea tarehe 29 Kila mtu anakijua.

Je chaguzi zijazo like 2030, 2035 CCM watakubali Tena kuingia kwenye uchaguzi mkuu bila Chadema?

Karibu.

Binafsi naona Sababu kubwa ya vurugu ni watu kuchoka UTEKAJI wa watu hovyo hovyo na kuuwawa, ndio mengine yakafuata..
Unajua utekaji ukiachiwa uendelee, watu wenye nia ovu na hata ushindani wa kibiashara nk nao watateka na kuua hivyo utekaji ni hatari sana kwa usalama wa Nchi....
Suala la chadema kushiriki uchaguzi, hilo linajitegemea....
 
Hili swali najiuliza Sana, kama CHADEMA wangeamua kushiriki uchaguzi na hii bogus INEC je maandamano ya October 29, yangetokea?

Katika kitu kiliwaudhi Sana CCM ni Chadema kujitoa kushiriki kiini macho Cha uchaguzi. Matokeo yake kilichotokea tarehe 29 Kila mtu anakijua.

Je chaguzi zijazo like 2030, 2035 CCM watakubali Tena kuingia kwenye uchaguzi mkuu bila Chadema?

Karibu.
Mtazamo wangu.
Mauaji na vifo vya wanachama wa CHADEMA vingekuwepoktk kipindi chote cha mchakato wa uchaguzi batili
 
Sababu kubwa ya vurugu ni watu kuchoka UTEKWAJI wa watu hovyo hovyo na kuuwawa, ndio mengine yakafuata..
Unajua utekwaji ukiachiwa uendelee, watu wenye nia ovu na hata wivu wa kibishara nk nao watateka na kuua hivyo ni hatari sana kwa usalama wa Nchi.
Suala la chadema kushiriki uchaguzi, hilo linajitegemea....
Mbona sahivi tekaji ndo umeshamiri,,, so Serikali haijajifunza kitu
 
Kama nisingerudi Nyumbani nisingefumania mke wangu
 
Hili swali najiuliza Sana, kama CHADEMA wangeamua kushiriki uchaguzi na hii bogus INEC je maandamano ya October 29, yangetokea?

Katika kitu kiliwaudhi Sana CCM ni Chadema kujitoa kushiriki kiini macho Cha uchaguzi. Matokeo yake kilichotokea tarehe 29 Kila mtu anakijua.

Je chaguzi zijazo like 2030, 2035 CCM watakubali Tena kuingia kwenye uchaguzi mkuu bila Chadema?

Karibu.
CHADEMA ya Bryson?
 
Back
Top Bottom