nilipata habari zisizokua rasmi kwamba j3 ni public holiday, naomba kufahamishwa kwa taarifa za uhakuka juu ya hili.
Acha uZembe juma tatu ni kazi kama kawaida
JK unamjua unamsikia ? subiri aanze hotuba halafu agusie mambo ya bunge la katiba. kadri kinamama watakapo piga vigelegele ndipo atakapotangaza kua ni sikukuu mpaka mei mosi.
Mkuu ni birthday yangu!!nawatakieni mapumziko mema...Tafadhali naomba mnieleweshe maana sijaelewa...jumatatu ni public holiday kivipi??
Tafadhali naomba mnieleweshe maana sijaelewa...jumatatu ni public holiday kivipi??
Ha ha ha you made my day.Mkuu ni birthday yangu!!nawatakieni m
apumziko mema...
vilaza utawajua tunilipata habari zisizokua rasmi kwamba j3 ni public holiday, naomba kufahamishwa kwa taarifa za uhakuka juu ya hili.
HIi hupati popote isipokuwa...Mleta mada yuk sahih kabisa kuuliza. Si mnakumbuk Zanzibar Shein alipotangaza mapumzik naye MKULU akakurupuka! Tanzania bwana,eti inarais mmoja!!