Swali lako ni gumu sana ndugu yangu, ma'na linataka jibu la ndiyo au hapana. Nisingependa kukubali wala kukataa, ushahidi ninao?.
N'nachoweza kusema ni kwamba, Mungu anaishi juani. Sababu haswa ni baadhi ya vifungu vya Biblia (kwa waaminio) vinavyoelezea alikokaa Mungu. Mimi si nabii, You may agree or dis-agree.
1 Timotheo 6:16
Ambaye yeye peke yake (Mungu) hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, wala hakuna mwanadamu aliyemuona wala awezaye kumuona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.
Nuru isiyoweza kukaribiwa ni ipi?..Questions, questions, questions.
Waebrania 12:29
Maana Mungu wetu ni moto ulao.
Moto ulao ni upi?..Questions, questions, questions.
Jua ni miongoni mwa nyota kubwa kuliko zote kwenye solar system ndio chanzo cha energy na maisha ya hapa Duniani na ulimwengu mzima na ikitokea jua limezima basi maisha ya ulimwengu mzima yanakoma. Mimea na miili ya binadamu inategemea mwanga jua kuendelea kuishi na sio mwanga wa Tanesco..kwanini ni mwanga wa jua peke yake..Mwanga wa jua una siri gani kubwa ya uhai na kuuisha inayoitofautisha na mianga mingine? Na lina mahusiano gani na utukufu wa kimungu? Na kwanini jamii nyingi Duniani zilifikia hatua ya kuliabudu kama Mungu? Na kwanini walipata majibu yao na kuishi kwa amani kuliko sisi? Kuna maswali mengi sana yanaibuka hapa.
Ila jua ni nyota kubwa kuliko zote inaaminika Dunia ili ilingane na jua inabidi ziwe dunia milioni 3,000,000/= dunia ni moto mkali sana unaowaka kwa miaka zaidi ya billion 5 bila kukoma I kutengeneza yenyewe hii energy kwa mfumo wa nuclear fission kwa kuzigonganisha hydrogen into helium na kutengeneza megawatts za energy 386 billion billion of megawatts kwa siku kiasi hili cha nguvu dunia toka kuumbwa hadi Leo haijawahi kutengeneza ilhali jua linatengeneza kwa siku na kinasafiri kwa sekunde kutoka miles ya jua lilipo hadi Duniani. Energy hii inaitwa cosmos sometimes ambayo ni sawa na energy rays ya rohoni ya binadamu inayofahamika kama "Aura" ndio maana binadamu akitizama na kuruhusu mionzi ya jua ya asubuhi impige kila siku kwa masaa matatu kwa miezi nane anakuwa spiritual awaken and powerful maana minzi hii ya jua ina ushabihianisho na mionzi ya energy ya roho ya binadamu. Swali je mionzi ya jua ndio supreme energy( Mungu)?
Jua likioneshwa likiwa katikati ya sayari na nyota zote likizivuta kwa uga wake mkali wa sumaku zije katika USO wake na vyote hivi havina support yeyote ilivishikilia vinaelea angani kwa utukufu mkubwa na jua kutaka kuthibitisha Uboss wake sayari na nyota zote zinazunguka isipokuwa jua pekee ndio lipo limekaa pale pale kibosi.
Dini zote za zamani zinakubaliana kwamba jua ni Mungu na wakaita "Sun God " na ndio ikazaliwa "Sun day" siku ya jua ambapo watu hawakuruhusiwa kufanya kazi bali waende wakalisujudie na kulitukuza jua kwa matendo makuu linalowafanyia hii hata Ancient Roman waliamini sun is God ndio maana hata Jesus baada ya kuzaliwa na kufanya makubwa wakamwita "Son God' ambapo baadae aliitwa the Son of God"
Picha ya zamani Roman bikira mariamu akiwa kambeba mwanae na kukumbatia jua kwa wakati mmoja.
Kiti kilichoko Vatican cha Papa anachokalia kikiwa na mchoro wa jua kwa nyuma yake.
Jesus kabebwa akiwa kazungukwa na jua kichwani pake.
Jua likiwa linaonekana altareni.
Hata Egypt ya kale waliamini katika jua kuwa Mungu na walimwita "Ra" waliamini jua ndio Mungu mkuu kuliko wote aliewaumba hata wale miungu walikuwa wanaabudiwa pale Egypt wote wanapaswa kumuabudu Sun God anaitwa "Ra".
Michoro ya kwenye madhabu ya Egypt ikionesha watu wa zamani wakiabudu jua.
Mchoro wa mfalme wa Egypt ambaeni Deity akiwa kalibeba jua kichwani pale kuonyesha utukufu wa Mungu.
Japan waliamini Sun God anaitwa "Amaterusi"waliamini ndio Mungu alieumba viumbe vyote kwa na mwenye nguvu zisizomithilika.
Libya kwenye makabauri ya wale mummies wote wafalme zamani wa kiume na wa kike baada ya kufukuliwa walikutwa na Sun tattoos zinazotoa alama ya Sun worship.
Kuna mengi sana ya kuzungumza na kushare kuhusiana na jua na utukufu wake wa kimungu na kuaminiwa na kuabudiwa jamii nyingi za zamani Duniani kama Mungu na maisha yao yalikuwa mazuri na yenye siha njema.
Na dini zote hizi za kisasa pia zimetoka kwenye sun worshipers which makes more sense kwangu kuamini this energy ya jua ndio energy kubwa kuliko zote Duniani hivyo since God ndio mwenye energy kubwa kuliko zote kwanini Jua lisiwe na uungu ndani yake!? Nahisi napaswa kuacha dini za kimapokeo na kuamini kwa Sun God kama huyu bwana hapa
Maana it makes more sense sisi binadamu kihualisia ni nguvu yaani energy ya rohoni kwanini nguvu kuu inayofanana na sisi isiwe baba yetu? Sun is God
.
Rejea nyimbo ya alpha blondy Masada utaona hata yeye anapoint ya msingi juu ya uungu wa jua. Rejea nyimbo ya Bob Marley talking blues.
Kama huyu Mungu mnaemsemea ndio anahitaji elimu na IQ kubwa namna hii kumuelewa,hanifai kabisa.
Simtaki na wala sitaki kabisa ajihusishe na mimi!
Yaani usipokua Msomi maahiri huwezi mjua MUngu kabisa kama ni hivi!
Mungu gani baguzi namna hii,lenye kujipambanua kwa wenye akili na IQ tu wakati yeye yeye kaumba wanadamu 95% ni wajinga kama mimi hapa tunaenda motoni!
Hizi water bodies zote zilizopo ni nature they were created that way na ziko sustained na jua ili kuwa sustainable..fikiri Dunia ingesogea kidogo kuelekea ilipo jua basi nadhani hizi maji yote yangekauka na kuwa mvuke kwa ukali wa mionzi na dunia lingesogea mbali kidogo kutoka uwepo wa Jua basi hata haya Maji yangekuwa barafu tupu kama Barafu la Pluto.
But jua limekaa umbali sahihi kabisa na dunia ili jua lirahisishe maisha ya hapa Duniani. Kwa hiyo mother nature inabaki kuwa mtoto mtiifu wa jua.
Swali lako ni gumu sana ndugu yangu, ma'na linataka jibu la ndiyo au hapana. Nisingependa kukubali wala kukataa, ushahidi ninao?.
N'nachoweza kusema ni kwamba, Mungu anaishi juani. Sababu haswa ni baadhi ya vifungu vya Biblia (kwa waaminio) vinavyoelezea alikokaa Mungu. Mimi si nabii, You may agree or dis-agree.
1 Timotheo 6:16
Ambaye yeye peke yake (Mungu) hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, wala hakuna mwanadamu aliyemuona wala awezaye kumuona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.
Nuru isiyoweza kukaribiwa ni ipi?..Questions, questions, questions.
Waebrania 12:29
Maana Mungu wetu ni moto ulao.
Moto ulao ni upi?..Questions, questions, questions.
Kama huyu Mungu mnaemsemea ndio anahitaji elimu na IQ kubwa namna hii kumuelewa,hanifai kabisa.
Simtaki na wala sitaki kabisa ajihusishe na mimi!
Yaani usipokua Msomi maahiri huwezi mjua MUngu kabisa kama ni hivi!
Mungu gani baguzi namna hii,lenye kujipambanua kwa wenye akili na IQ tu wakati yeye yeye kaumba wanadamu 95% ni wajinga kama mimi hapa tunaenda motoni!
Mkuu hapa nimemwongelea Mungu kwa uelewa wa kisayansi sambamba na religious perspective.
Ila naamini wote tuna IQ sawa ni sawa na Simu zinpotenegenezwa zinakuwa na memory sawa ila inategemea na unavyoitumia memory yako...kuna watu hadi simu inakufa inakuwa na nyimbo tano tu wakati memory yake ni GB 10... This is injustice..!
Mungu atakuuliza hizo GB zilizobaki zilienda wapi?
Hahaha una akili lakini wewe ni muoga. Kubali kwamba sisi ni miungu, ila tunazidiana ufahamu.
God yuko wapi sasa kwenye jua?! Huo mwanga upo hata sayari ya kwanza mbona hakuna uhai?!
Hakuna ajuaye uhai ni nini, damu au oxygen?! Hapo ndio tuna mleta God, kila tunaposhindwa kwenda nje ya fikra zetu tuna mleta mungu, na kunawalio shindwa kabisa uabudu wenye uwezo na kuwapa uungu. Na wapo wanaosema ukifikili extraordinary wewe ni shetani. Wapo wanaosema wazungu ndio shetani(lucifer) eti wanaakili kama mungu na mengi wayafanyayo mungu hakutaka tuyajue, leo wana tengeneza ndege, satelite, dawa kuponya, wanaotesha cell kuponya magonjwa, wanazalisha artificially by insemination na in vivo au in vitro, wana fanya grafting, dialysis na mengine mengi.
Sasa uwezo huo wapo wanaouona ni baraka za mungu kwa mwanadamu, na wapo wanaoona huo ndio uungu, na wapo wanaoona huo ndio ushetani wenyewe.
Sasa inategemea unafikiri vipi na reasoning yako ikoje.
Jua na mionzi yake linaweza kuwa ni source of something au ingredient of life lakini lenyewe pekeyake siyo mungu.
Ujue jua ni Tukufu?. Binadamu hawezi kusogelea jua na hakuna uchafu wowote utakaosogea iliko jua. Tutaenda mwezini, ardhini na kadhalika, ila juani hapana. Huu ni utakatifu.
Sina la kuandika zaidi. Labda niendelee kusoma mawazo ya wanabodi wengine na pengine nitaongeza kadhaa, kwa baadae.
- Ukubwa wa jua
-Components za jua
-umbali wa jua kwa kila sayari, (mfano kusema kuna 150kms mpaka duniani)
Zote hizo hazina Ukweli na Uhakika.
Kwasababu sisi hapa duniani tunaungua sana na jua mpaka watu wengine wanatokwa na damu puani na mazao yanakauka ilihali Jua lipo mbali sana na tena kuna Ozone layer hapo juu.
SWALI: Wanaosema jua lina Helium, Hydrogen etc na kwa asilimia zake walipimaje?
Ni akina nani waliopima size ya jua na kujua kuwa dunia inaingia mara 3,000,000 ?
Ushasema hazina ukweli alaf bado unataka kuwajua waliopima..mzee vip uko sawa kweli? Ebu tuambie ww umbali wa kutoka lilipo jua mpaka duniani ni km ngapi??
Mkuu hapa nimemwongelea Mungu kwa uelewa wa kisayansi sambamba na religious perspective.
Ila naamini wote tuna IQ sawa ni sawa na Simu zinpotenegenezwa zinakuwa na memory sawa ila inategemea na unavyoitumia memory yako...kuna watu hadi simu inakufa inakuwa na nyimbo tano tu wakati memory yake ni GB 10... This is injustice..!
Mungu atakuuliza hizo GB zilizobaki zilienda wapi?
Kuchukua mfano wa memory ya simu kufananisha na IQ ya mwanadamu ni kosa.Ni vitu viwili totally oxymoronic!
Binadamu wote wana IQ sawa?Hii assertion umeitoa wapi?Binadamu wote hawafanani,na hawana IQ identical,ndio maana kuna IQ scale.
Kumbe Mungu anaongelewa kisayansi?Nikiwa mwanasheria naweza muongelea Mungu kiuanasheria na nikawa sawa na wewe mwanasayansi?Unaona raha sana kudanganya watu eee?
Hoja yangu inasimama palepale,inakuaje huyu Mungu mpaka umuelewe uwe na IQ kubwa namna hii,na uwe msomi unaejua kusoma na kuandika na mwenye kujua dunia kisayansi na elimu zingine chungu nzima!Ndio nikatoa rai,inakuaje sisi wanadamu 95% ya population ya dunia tuliumbwa na yeye yeye kama wajinga wenye IQ ndogo au wastani isiyoweza kujua elimu zote hizi za ulimwengu,ni lazima twende motoni..Nyie wasomi 5% tu ndio mtamjua yeye vizuri maana mna akili na ndio mtaenda mbinguni.
Ndio maana nikasema huyu Mungu wenu ni baguzi namba moja,mkae nae nyie vichwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.