Kama mtakumbuka Magufuli alipata kusema kwamba kama sheria ingeruhusu basi angemwachia Raila Odinga aongoze jimbo lake huku Tanzania.
Hiyo ilikuwa ni wakati wa kampeni za uchaguzi za Urais kule Kenya.
Wengi walilaani kitendo cha Magufuli kushiriki kampeni zile. Hoja ilikuwa kwamba ni makosa kwa WAZIRI wa nchi moja kwenda kushiriki ktk kampeni za kisiasa ktk nchi jirani.
Binafsi sijapata kusikia mwanasiasa mmoja akimsifia mwenzake kama alivyofanya Magufuli. Siyo jambo la kawaida pia kwa wanaume kumsifia mwanaume mwenzake kiasi kile.
Sasa najiuliza, Raila Odinga ana influence kiasi gani kwa John Magufuli?
Hiyo ilikuwa ni wakati wa kampeni za uchaguzi za Urais kule Kenya.
Wengi walilaani kitendo cha Magufuli kushiriki kampeni zile. Hoja ilikuwa kwamba ni makosa kwa WAZIRI wa nchi moja kwenda kushiriki ktk kampeni za kisiasa ktk nchi jirani.
Binafsi sijapata kusikia mwanasiasa mmoja akimsifia mwenzake kama alivyofanya Magufuli. Siyo jambo la kawaida pia kwa wanaume kumsifia mwanaume mwenzake kiasi kile.
Sasa najiuliza, Raila Odinga ana influence kiasi gani kwa John Magufuli?
