Je, John Magufuli ni kibaraka wa Raila Odinga?

Je, John Magufuli ni kibaraka wa Raila Odinga?

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
37,868
Reaction score
71,627
Kama mtakumbuka Magufuli alipata kusema kwamba kama sheria ingeruhusu basi angemwachia Raila Odinga aongoze jimbo lake huku Tanzania.

Hiyo ilikuwa ni wakati wa kampeni za uchaguzi za Urais kule Kenya.

Wengi walilaani kitendo cha Magufuli kushiriki kampeni zile. Hoja ilikuwa kwamba ni makosa kwa WAZIRI wa nchi moja kwenda kushiriki ktk kampeni za kisiasa ktk nchi jirani.

Binafsi sijapata kusikia mwanasiasa mmoja akimsifia mwenzake kama alivyofanya Magufuli. Siyo jambo la kawaida pia kwa wanaume kumsifia mwanaume mwenzake kiasi kile.

Sasa najiuliza, Raila Odinga ana influence kiasi gani kwa John Magufuli?
 
Magufuli na ukawa wote walimsapoti odinga kwa kila hali lakin mwisho wa siku laila akaangukia pua,so na wao wategemee matokeo ya kama ya odinga maana hakuna namna.
 
Kwan tatizo nn hapo kumsifia au ? Weka wazi

1.kukiuka utamaduni wa mashirikiano ya kimataifa na kwenda kushiriki kampeni za kisiasa za nchi jirani.

2.kutoa kauli sizizo na kiasi au kipimo kwamba Raila Odinga is so capable sheria ingemruhusu angemuachia aongoze jimbo lake la uchaguzi huku Tanzania.

Je, kwa mtizamo wa Magufuli, Raila Odinga is so important kiasi cha kumlazimisha Magufuli kuvunja taratibu za kidiplomasia na kwenda kumpigia kampeni? Je, hali hiyo itaendelea hata ikiwa Magufuli atachaguliwa kuwa Raisi wa Tanzania??
 
Magufuli na ukawa wote walimsapoti odinga kwa kila hali lakin mwisho wa siku laila akaangukia pua,so na wao wategemee matokeo ya kama ya odinga maana hakuna namna.

..nadhani ulitaka kusema Chadema waliunga mkono chama cha Odinga.

..hiyo inaeleweka kwamba vyama rafiki vinaweza kushirikiana ktk kampeni.

..hapa tunazungumzia Waziri kujihusisha na kampeni za Uraisi wa nchi nyingine.
 
Kwa sababu Magufuli ni CHADEMA sivyo? Viroba vya asubuhi lazima vikutoe kamasi...
 
Umetumwa na kambi yako chafu ya majambazi kawambie wajisafishe wao ndo waje kuwachafua wengine,he unajua maana ya kibaraka?inawezekana hats baba yako unamuita kibaraka
 
1.kukiuka utamaduni wa mashirikiano ya kimataifa na kwenda kushiriki kampeni za kisiasa za nchi jirani.

2.kutoa kauli sizizo na kiasi au kipimo kwamba Raila Odinga is so capable sheria ingemruhusu angemuachia aongoze jimbo lake la uchaguzi huku Tanzania.

Je, kwa mtizamo wa Magufuli, Raila Odinga is so important kiasi cha kumlazimisha Magufuli kuvunja taratibu za kidiplomasia na kwenda kumpigia kampeni? Je, hali hiyo itaendelea hata ikiwa Magufuli atachaguliwa kuwa Raisi wa Tanzania??

haikuwa mkutano wa kampeni joka mkuu,ilikuwa mkutano mkuu wa chama.
hata ccm huwa wanawaita wachina,na Anc joka kuuu..
jenga hoja ,acha porojo
 
1.kukiuka utamaduni wa mashirikiano ya kimataifa na kwenda kushiriki kampeni za kisiasa za nchi jirani.

2.kutoa kauli sizizo na kiasi au kipimo kwamba Raila Odinga is so capable sheria ingemruhusu angemuachia aongoze jimbo lake la uchaguzi huku Tanzania.

Je, kwa mtizamo wa Magufuli, Raila Odinga is so important kiasi cha kumlazimisha Magufuli kuvunja taratibu za kidiplomasia na kwenda kumpigia kampeni? Je, hali hiyo itaendelea hata ikiwa Magufuli atachaguliwa kuwa Raisi wa Tanzania??

Inamadhara gani kwetu sisi maskini,kalikosoe like kind I lenu LA majambazi name kiongozi wenu mgonjwa ndo uje hapa
 
haikuwa mkutano wa kampeni joka mkuu,ilikuwa mkutano mkuu wa chama.
hata ccm huwa wanawaita wachina,na Anc joka kuuu..
jenga hoja ,acha porojo

..ulikuwa mkutano wa kampeni.

..lakini hata kama ungekuwa mkutano mkuu wa chama, Magufuli hakutumwa na chama chake.

..zaidi, Magufuli hakupaswa kuhudhuria mkutano ule kwa kuzingatia nafasi yake kama waziri ktk serikali ya Tz.

..sasa kubwa zaidi ni maneno aliyoropoka ktk mkutano ule wa kampeni.
 
Inamadhara gani kwetu sisi maskini,kalikosoe like kind I lenu LA majambazi name kiongozi wenu mgonjwa ndo uje hapa

..alichofanya ni uvunjifu wa taratibu za diplomasia na mashirikiano ya kimataifa.

..alichokisema kinazua mashaka kuwa anaweza kuwa kikaragosi cha Raila Odinga ndani ya serikali yetu.

..hata Magufuli naye ni mgonjwa. Umesahau alikunywa kikombe cha Babu wa Loliondo, na taarifa kwamba anatibiwa Ujerumani?

cc kanone, Ritz
 
Last edited by a moderator:
Je, Raila Odinga atakuja kusaidia kumpigia kampeni rafiki yake?
raila.JPG
 
Kuchaguliwa kwa John Magufuli kuwa Rais wa Tanzania, kutakuwa na impact kwenye uhusiano wa Tanzania na Kenya. Magufuli na Odinga ni marafiki wakubwa sana. Inasemekana urafiki ulianzia kwa wazazi wao. 2017 wakati wa uchaguzi nchini Kenya lazima Magufuli atatia mkono wake na balaa litaanzia hapo.

Kuna masuala kadhaa kama barabara ya Serengeti na kiwanda cha magadi kule ziwa Natron kwenye wale ndege ain ya korongo (Flamingo). Sijajua msimamo wa Pombe Magufuli kwenye masuala hayo. Pia lipo la kujenga ma hoteli kwenye hifadhi ya Serengeti.
 
Kuchaguliwa kwa John Magufuli kuwa Rais wa Tanzania, kutakuwa na impact kwenye uhusiano wa Tanzania na Kenya. Magufuli na Odinga ni marafiki wakubwa sana. Inasemekana urafiki ulianzia kwa wazazi wao. 2017 wakati wa uchaguzi nchini Kenya lazima Magufuli atatia mkono wake na balaa litaanzia hapo.

Kuna masuala kadhaa kama barabara ya Serengeti na kiwanda cha magadi kule ziwa Natron kwenye wale ndege ain ya korongo (Flamingo). Sijajua msimamo wa Pombe Magufuli kwenye masuala hayo. Pia lipo la kujenga ma hoteli kwenye hifadhi ya Serengeti.

Uhusiano ulianzia kwa wazazi wao? Unawajua wazazi wa Dr Magufuli wewe?? Kwahiyo hayati Jaramogi Oginga Odinga alikuwa swaiba wa babake Magufuli...ndugu zangu waTz tuache kujifanya tunajua ilhali hatujui!
Acha uongo ndugu!
 
Uhusiano ulianzia kwa wazazi wao? Unawajua wazazi wa Dr Magufuli wewe?? Kwahiyo hayati Jaramogi Oginga Odinga alikuwa swaiba wa babake Magufuli...ndugu zangu waTz tuache kujifanya tunajua ilhali hatujui!
Acha uongo ndugu!

Inasemekana urafiki ulianzia kwa wazazi wao.[/QUOTE

Read and understand before making your comments. Honor your name (ID)
 
Back
Top Bottom