Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,020
- 156,470
- Thread starter
- #21
Hahah hahah. Tatizo unataka tufanane. Kamwe hatutofanana.Nina
Mashaka na uwezo wako wa kufikiri mkuu
Hahah hahah. Tatizo unataka tufanane. Kamwe hatutofanana.Nina
Mashaka na uwezo wako wa kufikiri mkuu
Kuoa au kuolewa ni ufala. Mtego.Nikija kuingia kwenye ndoa mniite mbwa
Sawa ukiolewa tutakuita mbwa ukiwa hapo uwanjani Benjiamin Mkapa StadiumUwanja wa Benjamini Mkapa
Yan serikal ipoteze resources kisa kuwatoa watu ambao ni msikule ambayo hata uitekenye vp haifany chochote. Hahahaha. Mmepigwa mitozo kama lak8 hiv. Kimyaaa.... Ndo et had watengeneze stor yakuziba hzo 360.. hata zipigwe trilion 1000.. wa Tz watakaa kimya tu hahahNchi hii inaendeshwa na rimoti na watu fulani.
Kila mara inapotokea issue yenye maslahi mapana kwa raia, na washika remote hawataki tuijue au tuijadili basi kwa gharama yoyote ile watatuletea tukio la kutupoteza maboya.
Kipindi cha kasha ya Epa akaibuliwa Babu wa Loliondo, akapewa promo hadi nje ya nchi. Viongozi wazitowazito wakamiminika Loliondo kupiga kikombe.
Kikombe cha ajabu chenye kutibu magonjwa yote. Una unene uliopitiliza, piga kikombe. Una utapiamlo weee piga kikombe.
Nchi hii haishiwi maajabu
Kwenu misukule si ndio haohao kesho huwa viongozi? Au viongozi wanatoka sayari gani?Yan serikal ipoteze resources kisa kuwatoa watu ambao ni msikule ambayo hata uitekenye vp haifany chochote. Hahahaha. Mmepigwa mitozo kama lak8 hiv. Kimyaaa.... Ndo et had watengeneze stor yakuziba hzo 360.. hata zipigwe trilion 1000.. wa Tz watakaa kimya tu hahah
Wamepata nafasi ya kupumuaNchi hii inaendeshwa na rimoti na watu fulani.
Kila mara inapotokea issue yenye maslahi mapana kwa raia, na washika remote hawataki tuijue au tuijadili basi kwa gharama yoyote ile watatuletea tukio la kutupoteza maboya.
Kipindi cha kasha ya Epa akaibuliwa Babu wa Loliondo, akapewa promo hadi nje ya nchi. Viongozi wazitowazito wakamiminika Loliondo kupiga kikombe.
Kikombe cha ajabu chenye kutibu magonjwa yote. Una unene uliopitiliza, piga kikombe. Una utapiamlo weee piga kikombe.
Nchi hii haishiwi maajabu
Vyote tutavijadili Tril 360 na Mtu kuliwa Uroda hawana uwezo wa kututoa tuna Akili kubwaNchi hii inaendeshwa na rimoti na watu fulani.
Kila mara inapotokea issue yenye maslahi mapana kwa raia, na washika remote hawataki tuijue au tuijadili basi kwa gharama yoyote ile watatuletea tukio la kutupoteza maboya.
Kipindi cha kasha ya Epa akaibuliwa Babu wa Loliondo, akapewa promo hadi nje ya nchi. Viongozi wazitowazito wakamiminika Loliondo kupiga kikombe.
Kikombe cha ajabu chenye kutibu magonjwa yote. Una unene uliopitiliza, piga kikombe. Una utapiamlo weee piga kikombe.
Nchi hii haishiwi maajabu
😅🤣😂😂😂😂😂😂😂 Aseeee
Tena ni ufala kweli kweli.Kuoa au kuolewa ni ufala. Mtego.