Je, ingekuwaje kama Rais Macron angemsukuma mke wake?

Je, ingekuwaje kama Rais Macron angemsukuma mke wake?

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,192
Katika masuala ambayo huwa siyaelewi ni hili. Huu ni mfano mmoja tu kuwa wanaume tunapitia mengi chini ya mapaa ya nyumba zetu wenyewe.

Wanaume wanaopigwa na wake zao sio wengi saana lakini wanaume wanaokuwa verbally, emotionally na psychologically abused/tortured na wanawake ni wengi saana lakini dunia huwa hailioni hili..cha zaidi Lina baraka.

Nakuhakikishieni leo Macroni angekuwa ndiye kamfanyia aliyofanyiwa na mke wake dunia nzima ingesimama kumwambia ajiuzulu...sijui Watu wa GBV wangeitana popote walipo kijana wa watu hakuna rangi angeacha kuona.

Pia soma > Video: Macron achapwa Kofi na mkewe mbele ya kamera. Je, huyu ndo wa kumtishia Putin?

Poleni wanaume mnaopitia madhila mbalimbali. Jikazeni hakuna wa kuwapigia kelele. Na nawahakikishieni baadhi ya wanawake wanapigwa kwasababu mwanaume anachemka miaka na miaka, anahifadhi manyanyaso... Kisha unaishia kupigwa.
 
Ndoa ndoano. Ukioa mkizaa watoto nunua Shamba kubwa kijijini huko Jenna kijumba kizur kizuri ukianza kuchoka mke wako anaanza kuwa juu na ku control watoto huna chako tena baba. Nenda shambani kwako lima kila aina ya tunda. Fuga wanyama wadogo kwa wakubwa

Yeye mwache mjini huko peke ake
 
Katika masuala ambayo huwa siyaelewi ni hili. Huu ni mfano mmoja tu kuwa wanaume tunapitia mengi chini ya mapaa ya nyumba zetu wenyewe.

Wanaume wanaopigwa na wake zao sio wengi saana lakini wanaume wanaokuwa verbally, emotionally na psychologically abused/tortured na wanawake ni wengi saana lakini dunia huwa hailioni hili..cha zaidi Lina baraka.

Nakuhakikishieni leo Macroni angekuwa ndiye kamfanyia aliyofanyiwa na mke wake dunia nzima ingesimama kumwambia ajiuzulu...sijui Watu wa GBV wangeitana popote walipo kijana wa watu hakuna rangi angeacha kuona.

Poleni wanaume mnaopitia madhila mbalimbali. Jikazeni hakuna wa kuwapigia kelele. Na nawahakikishieni baadhi ya wanawake wanapigwa kwasababu mwanaume anachemka miaka na miaka, anahifadhi manyanyaso... Kisha unaishia kupigwa.
Kumaninazake afe tu Macron, Wafaransa ni wezi mno, wanawaibia sana West Afrika.
 
Sidhani kama pale alipigwa ni kihivyo nahisi ni kama walikuwa wanataniana tu!.. japo ndio hoja ya kusema kama macron angempiga mkewe ingeshikiliwa vilivyo!.
Inachukuliwa mwanamke ni kiumbe dhaifu hivyo si nzuri sana kumtembezea makonde!, tofauti na mwanaume ambae miili yetu imeshazoea kashkash!.

Nafikiri inaaminika duniani mwanaume ni taswira ya ushupavu.
 
Wengi wanamdhihaki Macron japo ni sababu ya ujinga wake wa kuoa libibi lililokuwa mwalimu wake primary na lina watoto wakubwa n likaamua kukimbia ndoa na kuolewa n huyo kijana BUT believe me, ingekuwa huyo mama ndio amekula kofi lile nadhani mabunge yote ulaya wangetoa tamko na Bunge la ulaya wangemtaka ajiuzulu.

The world is not fair for a boychild to retaliate a womans humiliation. Feeminism ni ujinga
 
🚨 French President Macron's wife was his Drama Teacher.

Her video of slapping Macron on plane is viral 😂😂

Macron was just 15 when he fell for his drama teacher Brigitte, 24 years his senior.

At that time, she was married with three kids. One of her daughters was Macron’s classmate.

Brigitte divorced her husband, and she & Macron united.

Today, she’s 73, France’s First Lady, and still known to keep Macron grounded 😂

C&P
 
Kwenye nchi za wazungu ukipigana na mwanamke hutakiwi kushinda ukishinda unakua mnyanyasaji wa kijinsia mfano Chris brown na Rihanna
 
Ndoa ndoano. Ukioa mkizaa watoto nunua Shamba kubwa kijijini huko Jenna kijumba kizur kizuri ukianza kuchoka mke wako anaanza kuwa juu na ku control watoto huna chako tena baba. Nenda shambani kwako lima kila aina ya tunda. Fuga wanyama wadogo kwa wakubwa

Yeye mwache mjini huko peke ake
Anadai ni utani tu.
 
Huyu si ndiye yule alimuoa mwalimu wake wa shule ya msingi?then he deserved it,hapo mke amesimama kama mwalimu pia kama mama mzazi so hakuna shida.
 
Back
Top Bottom