larrymeela
Member
- Aug 13, 2012
- 69
- 32
Wakuu habari za saa hizi?
Naomba kwa yeyote mwenye ufahamu anisaidie, nina router ya kampuni ya Smile. Je kuna uwezekano wa kui manoeuvre itumike kwa mitandao mingine kuachana na smile, yani kama nikitaka kutumia line ya voda au TTCL isome?
Naomba kwa yeyote mwenye ufahamu anisaidie, nina router ya kampuni ya Smile. Je kuna uwezekano wa kui manoeuvre itumike kwa mitandao mingine kuachana na smile, yani kama nikitaka kutumia line ya voda au TTCL isome?