Je, huyu mwanamke ameniroga?

Nenda kwa babu.
Hyo lakin itaisha nguvu baada ya muda.
Kuna wanaume pia wanachawia wake zao mwanaume mwengine hatopanda mtungini.
Kama una iman na yesu kristu mwokozi funga na kuomba naye atakuponya.
 
ni psychological problem labda alikutania tu ukikutna na mwanamke mwngne kitakutokea hiki na wewe ushaamin dats y kinakutokea ila kama anakupa kila kitu kwann umsaliti hyo kitu inafanana jombaa cha kufanya ni kumfundisha kile unachokikosa akufanyie yeye mwenyewe
 
Inferiority complex kwa ujumla si hali ya woga kama ambavyo umetafsiri, kwa hapa imetumika kama ni hali ya kutojiamini kutokana na jambo lililokutokea awali hivyo kuhisi litaendelea kutokea, kwahiyo kuhusiana pombe kwahuyo wa mnyira ilikuwa inamfaa lkn kwako sijui wewe unatatizo gani kuwa wazi!
 
Mimi nina mpenzi wangu naishi nae ni mwaka sasa tatizo lililonileta kwenu ni hivi mimi sio mzoefu na wanawake huyu ndio mwanake wa kwanza kufanya nae sex ni hivi karibuni nilipata mchepuko nikaenda kusex nao cha ajabu jogoo akagoma kusimama.

Mchepuko ukajitahidi kunifanyia romance lakini wapi, ukaleta supu ya mkia wa ng'ombe nikanywa wapi, hivo nikaondoka empty, huku nikihuzunika nikahisi labda uchovu, lakini nikirudi kwa huyu mpenzi wangu mnyiramba, jogoo anasimama nyuzi 90, napiga hadi bao 3.

Haikukomea hapo nikapata michepuko mingine kama Minne hali ni ile ile, hata nijiandae kwa vyakula gani, na nifanyiwe romance vipi, Jogoo hasimami.Ila nikirudi tu kwa huyu mnyiramba wangu au cheupe dawa wangu napiga mzigo hadi anaomba poo, japo Mimi na miaka 22 yeye 24.

Jana jumamosi nikapata mchepuko. Mwingine nikaenda nao gest maeneo ya tip top ni mzuri kila kitu, kilichotokea sikuamini, jogoo akagoma kusimama, before nilikunywa supu ya kongoro plus dona na maharagwe, nikaishia kumtia nyege, mtoto akanilaumu sana nikaona nimpoze na 15000, mimi huyo kucheki game ya man united na Norwich.

Jion nimerud kwa mpenzi wangu au cheupe wangu, jogoo kasimama nyuzi 90 nimekula mzigo nimeamka SAA 3 asubuhi hoi.

Maswali yangu kwenu wana MMU:-

Je huyu dada ananifanyia ushirikina?

Je kuna sababu nyingine zinazosababisha hii hali nje ya ushirikina?
Huyo mnyiramba amekuroga usiweze kufanya mapenzi
na michepuko ukitaka ujiokoe na uchawi wa kinyaramba nitafute mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Hofu yako tu mkuu, na jinsi unavyowaza hayo matukio, ndivyo itazidi kukutokea. Jiamini na usipanie sana tendo.
 
Mimi nina mpenzi wangu naishi nae ni mwaka sasa tatizo lililonileta kwenu ni hivi mimi sio mzoefu na wanawake huyu ndio mwanake wa kwanza kufanya nae sex ni hivi karibuni nilipata mchepuko nikaenda kusex nao cha ajabu jogoo akagoma kusimama.

Mchepuko ukajitahidi kunifanyia romance lakini wapi, ukaleta supu ya mkia wa ng'ombe nikanywa wapi, hivo nikaondoka empty, huku nikihuzunika nikahisi labda uchovu, lakini nikirudi kwa huyu mpenzi wangu mnyiramba, jogoo anasimama nyuzi 90, napiga hadi bao 3.

Haikukomea hapo nikapata michepuko mingine kama Minne hali ni ile ile, hata nijiandae kwa vyakula gani, na nifanyiwe romance vipi, Jogoo hasimami.Ila nikirudi tu kwa huyu mnyiramba wangu au cheupe dawa wangu napiga mzigo hadi anaomba poo, japo Mimi na miaka 22 yeye 24.

Jana jumamosi nikapata mchepuko. Mwingine nikaenda nao gest maeneo ya tip top ni mzuri kila kitu, kilichotokea sikuamini, jogoo akagoma kusimama, before nilikunywa supu ya kongoro plus dona na maharagwe, nikaishia kumtia nyege, mtoto akanilaumu sana nikaona nimpoze na 15000, mimi huyo kucheki game ya man united na Norwich.

Jion nimerud kwa mpenzi wangu au cheupe wangu, jogoo kasimama nyuzi 90 nimekula mzigo nimeamka SAA 3 asubuhi hoi.

Maswali yangu kwenu wana MMU:-

Je huyu dada ananifanyia ushirikina?

Je kuna sababu nyingine zinazosababisha hii hali nje ya ushirikina?
Mkuu jaribu kupiga punyeto uone kama jogoo ana wika au vipi ukiona chenga nenda kwa babu kacheki radar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom