Utaonekana kilaza usiye faa hata kupigiwa mfano, yaani unakuwa kicheche kisa nimeoa mke mwingine, kwanza nikijua ujue ndiyo talaka yako, ili ukakigawe vizuri.
Hawaridhiki ila tunaishi na kauli mbiu ya kuwa "Sema naye usione soo"(Kitambo sana hii kauli, bila shaka unaikumbuka). Hakuna aloye zaliwa anajua ukiona sikuridhishi weee sema na mimi tu, nirekebishe nilipokosea au ninapo kosea kisha nifanye juhudi nikuridhishe.
Mwanamke anaweza kuhimili kuzidi sisi, ila sote tunawajibika kujizuia.
Hili mwenzake Talaka. Sisi wengine ukitoka kutafunwa tunajua tu, nakwambia rudi ulipo toka, kesho nakuletea vilivyo vyako nakuja kukukabidhi kwa mdau.
Hili dogo sana, wewe unachotakiwa ni kusema na mimi tu.
Hakuna mwanke asiye weza kuvumilia ndani ya siku tatu au zaidi ya hapo, wewe utakuwa unafanya Hila, ila kitakacho umia kiungo chako mwenyewe.
Kigawe tu si chako.