Je, huyu alifanya sahihi?

Je, huyu alifanya sahihi?

Katenda kosa pia kisheria kuingilia privacy ya mtu.
Swadaktaa, hapo walivyofikiria wao ni kuwa hilo lilikuwa jambo dogo, huwezi jua mwanamke amemuharibia mdau mishe zake mara kibao tu.

Sisi wanaume tuna penda sana kuwazidi wao, ila wanawake wana wivu wa kijinga sana.
 
Kupekua sio mpaka uwe umeficha kitu au jambo fulani.

Ngoja nikupe mfano wa kupekua yaani kuchunguzana, unakuta mkeoana uhuru na simu yako, ila anachofanya yeye anataka kujua kila kitu unachofanya, sasa hili tatizo hata kama akiwa na uhuru huo inabidi awe na mipaka, unakuta mwanamke ana wivu kupika kiasi, mpaka analuhatibia baadhi ya "deal" zako mzee mzima, unakuta usha mkanya hakomi, unafikiri kinachofata ni nini ? Unampa likizo ya kujitafakari kwanza kisha akikaa sawa unamrudishwa, kwani kumrudisha mwaname kwao hakuna maana ya kuwa umemuacha, bali unampa fundisho kwanza.
Wakati huo wewe una haki ya kushika yake?
Au kanuni ni kila mtu akae na simu yake?
 
Wakati huo wewe una haki ya kushika yake?
Au kanuni ni kila mtu akae na simu yake?
Mimi lazima nishike yake, sababu mimi ni msimamizi wake na mume wake, muda ambao yeye asipokuwa au asipo vaa, lazima nitaulizwa kwanini mkeo hajala au kwanini hajavaa.
 
Unasema tu, watoto wa kike huwa mna moto tu kabla hatujaongeza mke wa pili au baada ya sisi kuongeza mke wa pili, ndani ya wiki tu,ile pressure inaisha unaanza kupungua taratibu. Wewe unatakiwa upate mwanaune mfano wangu.
Mwanamke ana malipizi ya ajabu sana. Usimfanyie kitu ambacho hakipendi kwa sababu unahisi hana cha kufanya.
 
Swadaktaa, hapo walivyofikiria wao ni kuwa hilo lilikuwa jambo dogo, huwezi jua mwanamke amemuharibia mdau mishe zake mara kibao tu.

Sisi wanaume tuna penda sana kuwazidi wao, ila wanawake wana wivu wa kijinga sana.
Hilo ndio huwa tatizo mfano jamaa hapo juu. Amesema mkewe kampekua kakuta text imetoka kwa mwanamke kawaka, wengine wanaendaga mbali hadi kumpigia mtuma text na kumshambulia. Kama ni mteja wako au una mchongo nae anakuharibia.
 
Mimi lazima nishike yake, sababu mimi ni msimamizi wake na mume wake, muda ambao yeye asipokuwa au asipo vaa, lazima nitaulizwa kwanini mkeo hajala au kwanini hajavaa.
Hiyo sheria ya mtandao haimuhusu mwanamke? Smh
 
Mwanamke ana malipizi ya ajabu sana. Usimfanyie kitu ambacho hakipendi kwa sababu unahisi hana cha kufanya.
Kwani kuongezewa mwenzako ni jambo baya ? Tunajua hampendi ila inabidi iwe hivyo kulingana na silika, mnasahau kwamba kwenye uzito huwa kuna wepesi ?
 
Kwani kuongezewa mwenzako ni jambo baya ? Tunajua hampendi ila inabidi iwe hivyo kulingana na silika, mnasahau kwamba kwenye uzito huwa kuna wepesi ?
Ila mkuu umefika mbali. Wengine kiimani hayo ya kuongeza mke hawayatambui.
 
Kwani kuongezewa mwenzako ni jambo baya ? Tunajua hampendi ila inabidi iwe hivyo kulingana na silika, mnasahau kwamba kwenye uzito huwa kuna wepesi ?
Ongeza mke wa pili uone. Na vile ex wangu nilikuwa nampenda kuliko wewe ila hakuwa na hela. Itakuwa ni wakati wa kumpa papuchi kila siku ukilala kwa bi mdogo.
 
Ila mkuu umefika mbali. Wengine kiimani hayo ya kuongeza mke hawayatambui.
Suala la sisi wanaume kumiliki wanawake wengi siyo tu la kiimani, soma historia utaona, bali imani hasa ya dini imekuja kudhibiti idadi maalumu, ila kuna makabila hayana ukomo wa kuoa wanawake, wapo wanamiliki mpaka wanawake kumi na kuendelea.

Bali sisi maumbile yetu yanaturuhusu tuwe na wake wengi lakini wao maumbile yao hayaruhusu hilo. Kwahiyo suala la kuwa na wake wengi siyo suala la kiimani tu.
 
Ongeza mke wa pili uone. Na vile ex wangu nilikuwa nampenda kuliko wewe ila hakuwa na hela. Itakuwa ni wakati wa kumpa papuchi kila siku ukilala kwa bi mdogo.
Fedheha itakuwa kwako, sijui kwanza utajisikiaje unafanya malipizi kwa kujivunjia heshima na ku uvua utu wako ?

Pili, ex wako atazidi kukuona hovyo, na kukutumia kama "Big G".
 
Fedheha itakuwa kwako, sijui kwanza utajisikiaje unafanya malipizi kwa kujivunjia heshima na ku uvua utu wako ?

Pili, ex wako atazidi kukuona hovyo, na kukutumia kama "Big G".
Wewe wasema.
Hivyo ndivyo mlivyoaminishwa.
Nitampelekea vizuri sana. Hata nikikigawa si ni changu? Unadhani wewe ndio uko na haki ya kuonja ladha tofauti tofauti?
 
Wewe wasema.
Hivyo ndivyo mlivyoaminishwa.
Nitampelekea vizuri sana. Hata nikikigawa si ni changu? Unadhani wewe ndio uko na haki ya kuonja ladha tofauti tofauti?
Haki ninayo tena kisheria kulingana na maumbile yalivyo, ila wewe haki hiyo huna sababu ya maumbile hayaruhusu, ndiyo maana ninaoa kisheria mke wa pili, ila wewe huwezi kuwa na waume wawili kisheria, zaodi ya kujidhuru nafsi yako na kuidhuru afya ya akili yako kwa kukigawa kitumbua chako.
 
Haki ninayo tena kisheria kulingana na maumbile yalivyo, ila wewe haki hiyo huna sababu ya maumbile hayaruhusu, ndiyo maana ninaoa kisheria mke wa pili, ila wewe huwezi kuwa na waume wawili kisheria, zaodi ya kujidhuru nafsi yako na kuidhuru afya ya akili yako kwa kukigawa kitumbua chako.
Wewe subiri na uone. Ungekuwa ni mume wangu ukioa tuu unakuwa umenihalilishia kuchepuka.
Unadhani wanawake wote ndani ya ndoa huwa wanaridhika kimapenzi na wanaume wao? Huwa mnajidanganya mwanaume hawezi kukaa muda bila kufanya mapenzi mkidhani mwanamke ndiye awezaye.
Mtachapiwa hadi akili ziwakae sawa. Niteseke kuishi maisha ya kutokuridhika kisa nini? Yaani nivumilie kukaa siku tatu sijafanya wewe unabanjuka kwa bimdogo huko?
Nakigawa nipate raha.
 
Back
Top Bottom