Je, huyu alifanya sahihi?

Je, huyu alifanya sahihi?

Mr Kind

Senior Member
Joined
Mar 4, 2017
Posts
178
Reaction score
308
Mara nyingi tunasikia wanasema kaa mbali na simu ya mpenzi/mwenza/mwanandoa wako kama unataka mdumu kwenye mahusiano

Pia sheria ya mtandao ya mwaka 2015 inamtaka kila mtumiaji wa social media kuweka password kwenye kifaa chake(simu au computer) anayotumia na endepo akakutwa na hatia na ikagundulika hakuweka password kwenye kifaa chake adhabu ya million kadhaa au kifungo kuanzia miaka miwiwli kinamuhusu

Huyu jamaa wa uarabuni aliamua kujiongeza, je alikuwa sahihi?

Soma kiambatisho hapa chini

Screenshot_20200604-215547~2.jpeg
 
Kuhusu habari ya kwenye gazeti,
Hilo linaweza kutokea pale mwanaume anapohisi kwa kukuoa wewe amekufanyia msaada. Ukifanya kosa tuu msaada unasitishwa.

Mwanaume anayejua amekuoa kwa sababu amekupenda na anatambua wewe ni sehemu ya maisha yake anawezaje kukurudisha kwa wazazi wako kwa kosa hilo?
 
Kuhusu habari ya kwenye gazeti,
Hilo linaweza kutokea pale mwanaume anapohisi kwa kukuoa wewe amekufanyia msaada. Ukifanya kosa tuu msaada unasitishwa.

Mwanaume anayejua amekuoa kwa sababu amekupenda na anatambua wewe ni sehemu ya maisha yake anawezaje kukurudisha kwa wazazi wako kwa kosa hilo?
Watabisha
 
Kuhusu habari ya kwenye gazeti,
Hilo linaweza kutokea pale mwanaume anapohisi kwa kukuoa wewe amekufanyia msaada. Ukifanya kosa tuu msaada unasitishwa.

Mwanaume anayejua amekuoa kwa sababu amekupenda na anatambua wewe ni sehemu ya maisha yake anawezaje kukurudisha kwa wazazi wako kwa kosa hilo?
Kwanini mwanamke unapekua simu ya mumeo ? Hizi tunaita choko choko.
 
HII SHERIA WALETE TANZANIA WAPIGWE FAINI NADHANI WATAACHA VIHERE HERE VYA KUSHIKA SIMU ZETU
 
Unazijua tamaduni za Saudia mkuu? Mke ana haki gani huko mbele ya mumewe?

Tuanzie hapo kwanza...Wakati mwingine muktadha sahihi wa tukio ndo unakupa mwanga wa kuelewa kinachoendelea...
 
Najisikia raha akipekua simu yangu, najua ananichunguza kwa mazuri tu ili ajiridhishe, juzi amekuta text ya kawaida ya mwanamke amewaka balaa. Nilimbembeleza, nikamwelewesha akanielewa. Kilichofuata ni romance kwa sana na maneno matamu huku akitamka kwamba penzi letu lisivurugwe na yeyote.
 
If you've got nothing to hide kwanini unapata hasira?
Kupekua sio mpaka uwe umeficha kitu au jambo fulani.

Ngoja nikupe mfano wa kupekua yaani kuchunguzana, unakuta mkeo ana uhuru na simu yako, ila anachofanya yeye anataka kujua kila kitu unachofanya, sasa hili tatizo hata kama akiwa na uhuru huo inabidi awe na mipaka, unakuta mwanamke ana wivu kupika kiasi, mpaka anakuharibia baadhi ya "deal" zako mzee mzima, unakuta usha mkanya hakomi, unafikiri kinachofata ni nini ? Unampa likizo ya kujitafakari kwanza kisha akikaa sawa unamrudishwa, kwani kumrudisha mwaname kwao hakuna maana ya kuwa umemuacha, bali unampa fundisho kwanza.
 
Katenda kosa pia kisheria kuingilia privacy ya mtu.
 
Hiyo sheria ni ngumu sana kwa kweli 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Aongeze mke wapili kwa nani?
Hayo mambo hayapo kwangu.
Unasema tu, watoto wa kike huwa mna moto tu kabla hatujaongeza mke wa pili au baada ya sisi kuongeza mke wa pili, ndani ya wiki tu,ile pressure inaisha unaanza kupungua taratibu. Wewe unatakiwa upate mwanaune mfano wangu.
 
Najisikia raha akipekua simu yangu, najua ananichunguza kwa mazuri tu ili ajiridhishe, juzi amekuta text ya kawaida ya mwanamke amewaka balaa. Nilimbembeleza, nikamwelewesha akanielewa. Kilichofuata ni romance kwa sana na maneno matamu huku akitamka kwamba penzi letu lisivurugwe na yeyote.
Kwa afya ya ndoa hiyo si nzuri. Mtakuja kujikuta mnafarakana, utaamua kesi ngapi mkuu. Simu zina mengi.
 
Back
Top Bottom