Tabia ya kununa sio nzuri, kwanza unazuia mibaraka!
Amekosea, ameondoka bila kuomba msamaha, we msamehe yapite. Mwezio karudi jioni keshasahau anasalimia kama kawaida!
Na la zaidi, kumnyima unyumba sio adhabu, ni kubomoa nyumba yako ukiwa unaona!
Usishangae sana pengine ana ugwadu wa karne mwezio au ovulation ndio ikawa inampeleka hivyo.Hapa nakuunga mkono aisee daah, wanawake wengine buana.
ProbablyKwaiyo tukicoment humu tunatafuta mbooro
Kama hii Miss Natafuta!Ahaaaa ila saa ingine kugegedwa raha hata iwe kubakwa bna kitu kikiwa ndani ni kitu tu.
Lakini usingechukua hatua ya kumpeleka mpaka polisihuyo jamaa ni kauzu sana mimi vyote ningemsamehe ila kunikaba kama mwizi haina ulazima hapo ndio ningem mind
Bazazi nasikia uko single
kazi kweli kweliUsishangae sana pengine ana ugwadu wa karne mwezio au ovulation ndio ikawa inampeleka hivyo.
Hivi kwanini mnapenda kuitumia hii sababu kama kisingizio?? Wewe omba msamaha pale unapokosea yeye akishindwa kukusamehe au akitumia hiyo kama fimbo ya kukuchapia basi ndiyo ufanye kile unachoweza lakini siyo usimuombe msamaha kabisa tatizo mnachukulia mifano ya hao wanawake zenu wajinga wasiojielewa kutuwakilisha wanawake wote!!Nikuombe msamaha, afu iwe kila nikikosea sipewi mpaka niombe msamaha.
Stress za nini??Tufanyien wepes, tuna stress sie