Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,229
- 36,248
mmmmmmmm kasie?
Matata Mahaba Platinum are all my aka plus more others...
mmmmmmmm kasie?
Nikikuwa mkubwa nataka kuwa kama wewe
tatizo wanawake hamjui ku express feeling mlizo nazo unaanza kununa hahahaa hivi mtu ukinuna ndo maana yake nini yaani hakuna kitu huwa kinaniudhi na kunishangaza eti unkuta mtu kanuna haongei na wewe sijui ni utoto sijui ni nini...for the record wanawake hawajui wanachokitaka saa zingine nguvu kama hivyo huw rudishisa akili na kujitambua“Wapenzi hebu nambieni ukweli
Iko hivi: Asubuhi umekorofishana na mumeo, wandoa kabisa, ukaanza kubwata, hakukujibu kitu kwakua anajua yy ndo mkosa, akaelekea kwenye mishe zake bila kukuomba samahani, aliporudi usiku akakusalimia kama kawaida, ukaitikia ukiwa bado umenuna, akaendelea na mambo yake, time ya kulala ikafika ukalala na kichupi chako, akaanza kukuchokonoa, akakuta una kichupi, akatoka kimyakimya, ww ukavuta shuka kichwani hadi miguuni, akaja na mkasi, shuka likatupwa kule, kichupi kikachanwa kibabe, ukapigwa roba moja kali ukachezea paip (pipe) mpaka ukajikuta unaomba ww samahani.
Sasa si kakubaka huyu unaweza ukamshitaki kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa?”
Katika pita pita zangu fb nimekutana na hii,kwanza nikiri kuweka mambo ya mahusiano mtandaoni si kitu cha hekima lakini kilichonipa attention yangu ni hapo jamaa alipoenda kutafuta mkasi na huko kukabwa ♀♀wanaume shkamoo zenu
Ulaya mbona huwa wanashtakiwa sana na sheria zipo kabisa labda bongo
Kwahiyoo nikijaaa kiulainiii najiliaa tundaaaNatamani kubakwa leo,sijavaa hata chupi wala haiitaji mkasi wala nini wakuu.wewe tu na kibamia chako
Wabakaji njooni pm
Cha kubakwa kwa hiari yako kitamu balaa
Ila ubakwe na hansomeSaanaaa, unatoa ushirikiano mia ya mia eehehheheee
Tumegombana sisi na sio vikojoleo..Unalalaje na chupi
katumia shortcut
yani usiku nianze kukubembeleza bebi vua bas vua na weweeeeee
Labda niwe sina mkasi humo ndani.
Na hiyo chupi ukute ni ile ngumu ka kisalfet ndo mana mtu akahitaji msaada wa mkasi
Atleast uvae kakitu ka kufungua tu,yani ukivuta uzi mmoja tu chupi yote mwaaaaa
Wanaume tuna stress zingi bana tufanyieni wepesi mambo mengine
Tumegombana sisi na sio vikojoleo.
Usione mwanamke kavaa dera au tite yake ukasema mwanamke si ndo huyu, ukimuweka ndani fulu kununa, kususa, na kubana aahahahahhaa.Natamani wanaume walio kwenye ndoa walio humu JF waje watoe mawazo yao juu ya ubakaji huu ila nimecheka aiseeeh aahahahahahhaaa looh.
Well maisha yana vituko na vionjo vingi sana kulingana na kila mmoja na jinsi alivyo.
Huyo mke kama ameamua kumwaga mboga anaweza kwenda kufungua kesi mahakamani na sio kwa mwenyekiti wa mtaa na ushahidi wake uwen mkasi, chupi iliyochanwa na shuka. Ikiwezekana kama wana cctv camera chumbani aende nayo, mume atashitakiwa na kuhukumiwa kwa kosa la ubakaji. Kumbuka kubaka hakujasema kama huyu ni mkeo basi una kibali cha kumbaka.
Usione mtu kavaa sarawili yake na tai na koti barabarani ukasema mwanaume si ndo huyu, akiwa faragha ni zaidi ya nyati aahahahahhaa
Usione mwanamke kavaa dera au tite yake ukasema mwanamke si ndo huyu, ukimuweka ndani fulu kununa, kususa, na kubana aahahahahhaa.
Ila ubakwe na hansome
in a legal marriage,rape is never recognized.infact failing to give your man or woman his/her conjugal rights is a ground that can be used to institute a divorce and marriage dissolution casetatizo wanawake hamjui ku express feeling mlizo nazo unaanza kununa hahahaa hivi mtu ukinuna ndo maana yake nini yaani hakuna kitu huwa kinaniudhi na kunishangaza eti unkuta mtu kanuna haongei na wewe sijui ni utoto sijui ni nini...for the record wanawake hawajui wanachokitaka saa zingine nguvu kama hivyo huw rudishisa akili na kujitambua
Usione mwanamke kavaa dera au tite yake ukasema mwanamke si ndo huyu, ukimuweka ndani fulu kununa, kususa, na kubana aahahahahhaa.
Hapo ongeza sauti kasie
''Yan nisawa na kuchimba shimo nakuanza kulitia''Kumwingilia mwanamke ambae hujamwandaa hakuna raha kiihvyo kwasababu anakua hatoi ushirikiano kabisa..
Yan nisawa na kuchimba shimo nakuanza kulitia
Ila hamna kosa hapo nadhani jamaa anajilia vyake
now you;re talkingin a legal marriage,rape is never recognized.infact failing to give your man or woman his/her conjugal rights is a ground that can be used to institute a divorce and marriage dissolution case