Je, huu sio ubakaji wa kwenye ndoa?

Je, huu sio ubakaji wa kwenye ndoa?

Kumwingilia mwanamke ambae hujamwandaa hakuna raha kiihvyo kwasababu anakua hatoi ushirikiano kabisa..

Yan nisawa na kuchimba shimo nakuanza kulitia[emoji23][emoji23]


Ila hamna kosa hapo nadhani jamaa anajilia vyake
 
Ngumu sana kuita hilo tendo ubakaji. Hata sheria ya kufungisha ndoa inasema mkagegedane huko mnakoenda na unalipia kabisa mahari
 
Ivi kubaka mwanaume mmoja kwa mwanamke ambae hatakii kabisaaa mnahisi ni kazi rahisi?
Huyo mwanamke...
Anamikono miwili
Miguu miwili
Na mdomo Juu
Hizo ni silaa ambazo mwanaume mpka aweze kuzimudu akiwa peke ake itakua kama anaunguza maji baharini
 
kwa umri huo haiwezekani nasikia mnauguaga ugonjwa wa kucheka bila sababu muda ukienda bia ya*** na vizito vikijaa au vibubu

Umri ni namba tuu za kuhesabu, hauzuii wala hausababishi kitu kwenye maisha yako ukitambua na ukiweka nia.

Umri wangu mkongwe wa miaka 50 una mambo meengi sana unaoshibishwa nao zaidi ya kujitakia kubakwa usiku badala ya kuota ndoto nyevuu.

Kwakuwa unasikia endelea kuomba Mungu usiwe kiziwi maana ukiacha kusikia hautakaa usadiki.

Ever Smiling Kasie Matata Platinum.
 
Kwa upande wangu hiyo pia ni still ya kuombana msamaha. Na kama ukiwafuatilia kwa ukaribu asubuhi iliyofuata maisha yaliendelea kama kawaida na ipo siku watakumbushana na kucheka so jamaa aliona bora ampelekee moto kiaina ili kumaliza tofauti zao.
 
Umri ni namba tuu za kuhesabu, hauzuii wala hausababishi kitu kwenye maisha yako ukitambua na ukiweka nia.

Umri wangu mkongwe wa miaka 50 una mambo meengi sana unaoshibishwa nao zaidi ya kujitakia kubakwa usiku badala ya kuota ndoto nyevuu.

Kwakuwa unasikia endelea kuomba Mungu usiwe kiziwi maana ukiacha kusikia hautakaa usadiki.

Ever Smiling Kasie Matata Platinum.
mmmmmmmm kasie?
 
Ingekuwa mimi ningeingiza hata masikioni,chupi yake nisingeigusa
 
Unalalaje na chupi

katumia shortcut

yani usiku nianze kukubembeleza bebi vua bas vua na weweeeeee

Labda niwe sina mkasi humo ndani.

Na hiyo chupi ukute ni ile ngumu ka kisalfet ndo mana mtu akahitaji msaada wa mkasi

Atleast uvae kakitu ka kufungua tu,yani ukivuta uzi mmoja tu chupi yote mwaaaaa

Wanaume tuna stress zingi bana tufanyieni wepesi mambo mengine

Tumegombana sisi na sio vikojoleo.
Mna stress zipi?
 
Umri ni namba tuu za kuhesabu, hauzuii wala hausababishi kitu kwenye maisha yako ukitambua na ukiweka nia.

Umri wangu mkongwe wa miaka 50 una mambo meengi sana unaoshibishwa nao zaidi ya kujitakia kubakwa usiku badala ya kuota ndoto nyevuu.

Kwakuwa unasikia endelea kuomba Mungu usiwe kiziwi maana ukiacha kusikia hautakaa usadiki.

Ever Smiling Kasie Matata Platinum.
Nikikuwa mkubwa nataka kuwa kama wewe
 
Ulaya mbona huwa wanashtakiwa sana na sheria zipo kabisa labda bongo
Natamani wanaume walio kwenye ndoa walio humu JF waje watoe mawazo yao juu ya ubakaji huu ila nimecheka aiseeeh aahahahahahhaaa looh.

Well maisha yana vituko na vionjo vingi sana kulingana na kila mmoja na jinsi alivyo.

Huyo mke kama ameamua kumwaga mboga anaweza kwenda kufungua kesi mahakamani na sio kwa mwenyekiti wa mtaa na ushahidi wake uwen mkasi, chupi iliyochanwa na shuka. Ikiwezekana kama wana cctv camera chumbani aende nayo, mume atashitakiwa na kuhukumiwa kwa kosa la ubakaji. Kumbuka kubaka hakujasema kama huyu ni mkeo basi una kibali cha kumbaka.

Usione mtu kavaa sarawili yake na tai na koti barabarani ukasema mwanaume si ndo huyu, akiwa faragha ni zaidi ya nyati aahahahahhaa

Usione mwanamke kavaa dera au tite yake ukasema mwanamke si ndo huyu, ukimuweka ndani fulu kununa, kususa, na kubana aahahahahhaa.
 
Tabia ya kununa sio nzuri, kwanza unazuia mibaraka!
Amekosea, ameondoka bila kuomba msamaha, we msamehe yapite. Mwezio karudi jioni keshasahau anasalimia kama kawaida!

Na la zaidi, kumnyima unyumba sio adhabu, ni kubomoa nyumba yako ukiwa unaona!
 
Back
Top Bottom