julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Habari wana Jukwaa la MAHUSIANO, MAPENZI NA URAFIKI?
Naomba radhi kwa nitakao wagusa! Nimeamua kuimarisha uhusiano ndani ya jukwaa hili ili tusiwe na tabia hizi zisizo za kiungwana!
Napenda kuwauliza maswali kadhaa ili tuone kama huu ni ungwana,
1.Anakuja mtu na thread ya kweli watu wanamtukana kuwa katunga hata kama stori ni ya kweli, Je huu ni ungwana?
2.Anakuja mtu kuchangia hana uzoefu wa matumizi ya simu au laptop anakutana na ukurasa mmoja anatusi kuwa Jukwaa limevamiwa na anadharau wachangiaji hadi alie leta topic, Je huu ni ungwana?
3.Mtu kuchangia nje ya mada, je huu ni ungwana?
4.Kudanganya wana Jukwaa kwa kuleta stori za uongo je huu ni ungwana?
Najua yapo maswali mengi ya kujiuliza kama wanaotenda ndani ya jukwaa hili wanatenda ungwana kwa wahusika, Tujifunze na kusoma alama za nyakati, tuwape elimu wahusika kama haamini stori hajaalikwa kuchangia, nawaomba mtoe ushirikiano kuwapa hawa jamaa elimu kupitia uzi huu!
Kama huna ungwana mahusiano, mapenzi na urafiki sahau! hivyo ni bora kuhama jukwaa kuliko kukera wana jukwaa!
Nawasilisha hoja!
Naomba radhi kwa nitakao wagusa! Nimeamua kuimarisha uhusiano ndani ya jukwaa hili ili tusiwe na tabia hizi zisizo za kiungwana!
Napenda kuwauliza maswali kadhaa ili tuone kama huu ni ungwana,
1.Anakuja mtu na thread ya kweli watu wanamtukana kuwa katunga hata kama stori ni ya kweli, Je huu ni ungwana?
2.Anakuja mtu kuchangia hana uzoefu wa matumizi ya simu au laptop anakutana na ukurasa mmoja anatusi kuwa Jukwaa limevamiwa na anadharau wachangiaji hadi alie leta topic, Je huu ni ungwana?
3.Mtu kuchangia nje ya mada, je huu ni ungwana?
4.Kudanganya wana Jukwaa kwa kuleta stori za uongo je huu ni ungwana?
Najua yapo maswali mengi ya kujiuliza kama wanaotenda ndani ya jukwaa hili wanatenda ungwana kwa wahusika, Tujifunze na kusoma alama za nyakati, tuwape elimu wahusika kama haamini stori hajaalikwa kuchangia, nawaomba mtoe ushirikiano kuwapa hawa jamaa elimu kupitia uzi huu!
Kama huna ungwana mahusiano, mapenzi na urafiki sahau! hivyo ni bora kuhama jukwaa kuliko kukera wana jukwaa!
Nawasilisha hoja!