Wana jf..katika pita pita zangu katika mitandao nimekutana na hizi blog moja inaitwa <font color="#0000cd">mzeewasupu</font> na nyingine inaitwa <font color="#0000cd">maishamatamu</font>..kwa kweli nimeshangaa sana...kuona picha za wadada wa kitanzania..watu maharufu na wengine watu wakawaida wakiwa wamepiga wa kupigwa picha za utupu.....inasikikitisha kama si kufurahisha na kuhuzunisha.....<br />
<br />
Tafadhali..Tembelea...<a href="http://www.mzeewasupu.blogspot.com..ujionee" target="_blank">www.mzeewasupu.blogspot.com..ujionee</a> mwenyewe..<br />
<br />
Angalizo ..hivi hakuna uwezekano wakusajiri hizi blog?