Je hizi ni CPU au ni kitu gani?

Je hizi ni CPU au ni kitu gani?

Mangungo II

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
18,174
Reaction score
26,912
Naomba kujuzwa maana nimejaribu kugoogle bado maelezo ya huko hayajaniridhisha

Cc@chiefmkwawa

Screenshot_20200517-113437.jpeg
Screenshot_20200517-113431.jpeg
Screenshot_20200517-113419.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief hapo kafafanua vyema sana.

Hizo ni desktop kabisa.

Ni vizuri sana ukiitumia kama tv box maana ufanisi wake ni mkubwa kuliko tv box za android(windows ni nzuri kuliko android)
 
Chief mkawa mkuu nataka tengeneza simple gaming machine nilifwata ushauri wako wakuto weka external gpu kwenye laptop maana ulinambia aita fanya kazi vizuri , je nikinunja desktop zakawaida ata i5 nikapiga pgu itafanya kazi vizuri


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio mkuu cha muhimu tafuta desktop ambayo ina power supply ya kawaida na sio hizi dell na Hp zenye power supply ambazo ni ngumu ku upgrade.

Kwa around laki 5 unaweza tengeneza gaming machine kali, na around laki 3 na nusu mpaka 4 unaweza tengeneza gaming machine decent.

-Gaming machine kali,
1. Nenda aggrey ama machimbo ya pc yoyote katafute processor ya i7, unazipata around 30,000 mpaka 80,000 inategemea na generation, nilinunua i7 4790 kwa 80,000 na niliona pia i7 1st gen kwa hio 30k sema hazina maana.

2. Tafuta desktop ya celeron ama pentium ya gen husika, mfano umepata hio i7 4790k hio ni gen ya 4, tafuta desktop ya gen ya 4 pentium, unazipata chini ya 150k, kwangu nilinunua 130k bila HDD.

3. Toa pentium, weka i7, upgrade storage na ram, mimi nilitumia 80,000 kuweka ssd na around 60,000 kwa 8gb ram hivyo total inakuja kama 350,000 kwa machine ya i7 4790, 12gb ram na ssd 128/256gb.

4. Nunua GPU aliexpress ama popote unapoona rahisi, chini ya 150k unapata used.

-gaming machine ya kawaida
1. Nunua desktop ya i5 around 250k mpaka 400k kutegemea na gen
2. Upgrade gpu.

Ila suala la power supply kuwa makini sana mkuu, hizo zisizofaa zinakuwa na pin 8 na zile nzuri zinakuwa na pin around 20 hivi.

Unaweza kuziangalia zote hapa
All about the various PC power supply cables and connectors
 
Ndio mkuu cha muhimu tafuta desktop ambayo ina power supply ya kawaida na sio hizi dell na Hp zenye power supply ambazo ni ngumu ku upgrade.

Kwa around laki 5 unaweza tengeneza gaming machine kali, na around laki 3 na nusu mpaka 4 unaweza tengeneza gaming machine decent.

-Gaming machine kali,
1. Nenda aggrey ama machimbo ya pc yoyote katafute processor ya i7, unazipata around 30,000 mpaka 80,000 inategemea na generation, nilinunua i7 4790 kwa 80,000 na niliona pia i7 1st gen kwa hio 30k sema hazina maana.

2. Tafuta desktop ya celeron ama pentium ya gen husika, mfano umepata hio i7 4790k hio ni gen ya 4, tafuta desktop ya gen ya 4 pentium, unazipata chini ya 150k, kwangu nilinunua 130k bila HDD.

3. Toa pentium, weka i7, upgrade storage na ram, mimi nilitumia 80,000 kuweka ssd na around 60,000 kwa 8gb ram hivyo total inakuja kama 350,000 kwa machine ya i7 4790, 12gb ram na ssd 128/256gb.

4. Nunua GPU aliexpress ama popote unapoona rahisi, chini ya 150k unapata used.

-gaming machine ya kawaida
1. Nunua desktop ya i5 around 250k mpaka 400k kutegemea na gen
2. Upgrade gpu.

Ila suala la power supply kuwa makini sana mkuu, hizo zisizofaa zinakuwa na pin 8 na zile nzuri zinakuwa na pin around 20 hivi.

Unaweza kuziangalia zote hapa
All about the various PC power supply cables and connectors
Nashukuru sana mkuu ngoja nifanyie kazi nikikwama nitakujulisha
 
Ndio mkuu cha muhimu tafuta desktop ambayo ina power supply ya kawaida na sio hizi dell na Hp zenye power supply ambazo ni ngumu ku upgrade.

Kwa around laki 5 unaweza tengeneza gaming machine kali, na around laki 3 na nusu mpaka 4 unaweza tengeneza gaming machine decent.

-Gaming machine kali,
1. Nenda aggrey ama machimbo ya pc yoyote katafute processor ya i7, unazipata around 30,000 mpaka 80,000 inategemea na generation, nilinunua i7 4790 kwa 80,000 na niliona pia i7 1st gen kwa hio 30k sema hazina maana.

2. Tafuta desktop ya celeron ama pentium ya gen husika, mfano umepata hio i7 4790k hio ni gen ya 4, tafuta desktop ya gen ya 4 pentium, unazipata chini ya 150k, kwangu nilinunua 130k bila HDD.

3. Toa pentium, weka i7, upgrade storage na ram, mimi nilitumia 80,000 kuweka ssd na around 60,000 kwa 8gb ram hivyo total inakuja kama 350,000 kwa machine ya i7 4790, 12gb ram na ssd 128/256gb.

4. Nunua GPU aliexpress ama popote unapoona rahisi, chini ya 150k unapata used.

-gaming machine ya kawaida
1. Nunua desktop ya i5 around 250k mpaka 400k kutegemea na gen
2. Upgrade gpu.

Ila suala la power supply kuwa makini sana mkuu, hizo zisizofaa zinakuwa na pin 8 na zile nzuri zinakuwa na pin around 20 hivi.

Unaweza kuziangalia zote hapa
All about the various PC power supply cables and connectors

Aisee mku nahitaji SSD zile ndogo, GB 500 naweza kuipata mitaa gani? Kwa sh ngp?
 
Aisee mku nahitaji SSD zile ndogo, GB 500 naweza kuipata mitaa gani? Kwa sh ngp?
Ssd ndogo zipo nyingi mkuu kuna M.2 inayotumia sata, pcie (NVME) etc cha kwanza angalia kwa makini kifaa chako kinatumia ipi.

Unazipata maduka ya mjini kwa bei kubwa kidogo
Western-Digital-500gb-nvme.jpg

Nvme 500GB kwa 325,000 epic computers
WD Blue SN500 500GB NVMe Internal SSD – Epic Computers
Wapo city mall ghorofa ya 3

Capricon pia wanazo za kutosha ila bei zao hawa jamaa fumba macho
Search Results for “Ssd” – Capricorn Technologies

Ukitulia aggrey kkoo tembelea kaale, na jengo linaloangalia na benki ya mkombozi ongea hata na madalali nje ya duka wanakutafutia used/refurbished kwa bei nzuri japo sio recomended kwa ssd.
 
Processors za Intel Atom n kweli zinauwezo mdogo. Lakini so kila Core i 3 zinauwezo mdogo mfano hiyo Intel core i3-4130 inakimbizana na core i5-3320. See comparison.View attachment 1454793View attachment 14547
Ni kweli ila nazungumzia katika context ya kazi nzito hasa za gaming, graphics na nyinginezo. Na ndio maana hizi hutumika sana mabenki na maofisini kwa ajili ya kazi nyepesi nyepesi. Na pia sio rahisi kufanya upgrades na expansion.
 
Games latest zinaweza kuhimili Jovi videsktop?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo alivyoweka mleta mada haviwezi, vitacheza tu baadhi tena kwa 480p kama gta V, witcher etc.

Ila zipo mini desktop kama skull canyon, Nuc extreme, na hata Diy project ambazo ni ndogo sana kama hizo hali ya kuwa zina perfomance kubwa sana.

Hii ni Nuc ghost canyon ni full desktop kila kitu kinabadilishika.
images
 
Ni kweli ila nazungumzia katika context ya kazi nzito hasa za gaming, graphics na nyinginezo. Na ndio maana hizi hutumika sana mabenki na maofisini kwa ajili ya kazi nyepesi nyepesi. Na pia sio rahisi kufanya upgrades na expansion.
Mkuu kuna processor za kazi hali ya kuwa zinakula umeme mdogo na zinazoweza kuwekwa kwenye machine ndogo. Mfano yake kama hii

Core i9 10900T hii ina core 10 na thread 20 inakula watts 35 tu ikiwa katika base clock. Inatumia socket na mobo kama pc nyengine za kawaida.
 
Hivyo alivyoweka mleta mada haviwezi, vitacheza tu baadhi tena kwa 480p kama gta V, witcher etc.

Ila zipo mini desktop kama skull canyon, Nuc extreme, na hata Diy project ambazo ni ndogo sana kama hizo hali ya kuwa zina perfomance kubwa sana.

Hii ni Nuc ghost canyon ni full desktop kila kitu kinabadilishika.
images
Hii bei yake inaendaje mkuu??na ziko bongo hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom