Mh, mkuu, nitajuaje kama huyu hazai?Tafuta mwanamke asiye zaa,hawa huwa na ukarimu,ila hao wengne n shida tena akzaa anawasahau wa kwako
Nenda sehem mbalmbali,ongea na watu waambie unatafuta mwanamke ambae hazai,utawapata tu sku hz wapo wengiMh, mkuu, nitajuaje kama huyu hazai?
Hongera pia bora aliondoka...
Huenda ukakutana na kubwa zaidi ya kuachiwa watoto...
Baadhi ya hawa kina mama zetu huitikia sana maneno kutoka nje....
Jiulize mama anawezaje kumwacha mtoto wa miaka mitatu...?
Ha ha ha ha!Nenda sehem mbalmbali,ongea na watu waambie unatafuta mwanamke ambae hazai,utawapata tu sku hz wapo wengi