sio tabia za wanawake wte. pole sna ndugu ila ungejaribu tena kumsihi arudi mlee familia. huenda this time atakuelewa.Wakuu
Leo ni miaka nane imetimia toka niachwe na mke wangu, nasema ni mke wangu kwa sababu hakuna talaka yoyote tuliyopeana kisheria kuivunja ndoa yetu na kwa muda wote huo nimekuwa nikimbembeleza sana ili arudi tulee familia imeshindikana.
Sababu za kuniacha hazikuwa na msingi wowote, kwani alidai kuwa aliambiwa na rafiki zake kuwa nina uhusiano na dada mmoja, hivyo akaamua kuchukua uamuzi huo. Ukweli ni kuwa huyo ambaye nilituhumiwa kuwa na mahusiano naye wala nilikuwa simfahamu, nikamwambia alete ushahidi, ilishindikana zaidi ya maneno tu kuwa aliambiwa.
Nilijaribu kuwaomba wazee wamsihi na vikao vya ukoo vilifanyika lakini ilishindikana, juhudi zangu zote ziligonga ukuta, na hivyo kuwalazimu ndugu waniambie kama naweza kupata mwanamke mwingine, nioe.
Kwa muda wote huo nimeishi peke yangu nikiwa na wanangu, namshukuru Mungu kwa sasa wameshakua. Mmoja alimuacha akiwa na miaka 6 na sasa ana miaka 14 na mwingine alimuacha akiwa na miaka 3 na sasa ana miaka 11.
Huyo mke wangu, sasa yapata miaka sita imepita sijamtia machoni pangu, ila nasikia tu yupo mkoa fulani.
Wanajamii, nimeshindwa kuoa mwanamke mwingine kila nikifikiria mateso ambayo wanaweza kupata wanangu kutoka kwa mwanamke mwingine. Kila nikifikiria tu manyanyaso ambayo wanapata watoto wengine ambao wanalelewa na mama tofauti akili yangu inapoteza network kiasi kwamba hata sitamani kuoa tena.
Najiuliza, pengine hizo ndo tabia za wanawake wote au ni baadhi tu ambao kwao upendo umewapita mbali.
Naombeni ushauri waungwana!
Nashukuru mkuu kwa ushauri mzuriPole ndugu kwa yaliyokufika. Usiache kumuomba Mungu azidi kukusaidia kwenye malezi ya hao watoto.
Ni kweli wanawake wanapenda sana maneno ya kuambiwa.
Ningependa wanawake mmbadilike katika hili. Mnaharibu familia na males I kwa maneno ya kipuuzi.
Nimejaribu kila mbinu ya kumfanya arudi, imeshindikana na ndo maana nimeamua kuleta huu uzi humu jukwaani ili nipate msaada wa ushaurisio tabia za wanawake wte. pole sna ndugu ila ungejaribu tena kumsihi arudi mlee familia. huenda this time atakuelewa.
Nimemsubiria muda wote huo nikijua kwamba pengine anaweza badilika, na isitoshe kama ningeoa, basi kile ambacho alikuwa anaambiwa angeaminiMiaka 8 bado unamfikiria tu? Yani huyu hata akirudi hatokuwa kama alivyokuwa mwanzo.
Thanks mkuu kwa ushauri mzuriMkuu Moja Ya Sababu Za Ndoa Kuvunjika Chini Ya Kifungu 107(2) Ya Sheria Ya Ndoa Ya Mwaka 1971 Ni Kutelekeza (Wilful Neglect Au Desertion).
She Deserted You.Miaka Miwili Imepita Since Amekukimbia. Apo Nenda Conciliation Board Ataitwa Akiitwa Mkishindwana Bodi Wanakupa Certificate Kua Ndoa Imeshindikana Na Wameshindwa Kutatua Mgogoro. Baada Ya Hapo Tunaapply For Divorce Very Easily. I Wish I Was A Real Advocate. But Am On My Way.
All The Best Mkuu.
Lakini mkuu, nitajuaje kama huyo ambaye nitaoa ataweza kuwacare vizuri wanangu? Isije ikawa naoa, matatizo ndo akashindwa kuwacare kabisa hao wana,Watu hawafanani! Tafuta mke uoe, mweleze ukweli kuhusu familia yako, naamini utapata mke mwema . Hao watoto uwe nao karibu ili hata ikitokea shida wakueleze.
Tafadhali rejea uzi wangu wa mwanzo na huu wa sasaHatari sana alikua hakumbuki kama kashauza chai na watu wametosheka anataka kurudia tena
Duuu! Nashukuru mkuu!Kaka me cjaoa ila kutokana na hali kama hyo haina haja ya kurisk kutafut mwanamk mwingin aje akulelee wanao, Sawa sikatai kwamb sio wanawak wote ndo wenatabia hizo ila tatizo linakuja Nani ndiye Nani siye sasa huon kwamb hyo ni risk. Nimewaza sana umemkuza mtoto toka miak 3 had 11, bila mama aje akushinde 11 kuendelea mtu ameshakua kabic, sikushaur bro lea wanao haina haja ya kucheza Kamar kutafut limwanamke lingine. Bora wangekua na alama kwamb huyu n mzur huyu ni mbaya. Komaa lea wanao wala hutobadilika chocht kile na mungu akutie nguvu na ujacri katika hilo. One day utajivunia juu ya hilo
Ok, thanksKingine cha kujifunza sasa hivi mwanamke akisema NO basi hata uje ukoo mzima, familia na viongozi wa dini ataendelea na msimamo wake.
*wabishi sana
*hawaelewi kitu zaidi ya msimamo
*hawarudii matapishi
*endapo atakusamehe/ kusulihishwa na wazee basi atakuja kukulipizia kisasi.
Ushauri mzuri dada, nitauzingatiamkuu lea kwanza wanao wakikuwa wakubwa ndiyo uoe for funny
sawa mkuuUshauri mzuri dada, nitauzingatia