wana jf mimi maoni yangu kuhusu hizi kamati za bunge ni kama uvujaji wa pesa. Hizi kama zipo lakini matatizo yako palepale leo utasikia wapo ziara mtera, mara wapo bagamoyo kwenye vikao wiki nzima, wapo ziarani uganda kujifunza na posho zao nono je hii ni nini??
Je na nchi za watu kama us,uk,uarabuni, kenya, uganda, nigeria, rwanda wana hivi vitu au tumecopy kutoka wapi na je hii ilikuwepo tangu enzi za mwalimu.
Naomba maoni yenu mimi binafsi naona kama kuhujumu uchumi na je ukumbuke kuna mawaziri vivuli nao wanakazi ya kufuatlia serikali, je na wao wanalipwa??
Kama ni hivyo piga total budget ya hizo kamati na mawaziri vivuli.
Hapo mtaendelea kweli na kama chadema wangechukua nchi je wangevunja hizo kamati
au tuiweke kwenye katiba
maoni yenu
Je na nchi za watu kama us,uk,uarabuni, kenya, uganda, nigeria, rwanda wana hivi vitu au tumecopy kutoka wapi na je hii ilikuwepo tangu enzi za mwalimu.
Naomba maoni yenu mimi binafsi naona kama kuhujumu uchumi na je ukumbuke kuna mawaziri vivuli nao wanakazi ya kufuatlia serikali, je na wao wanalipwa??
Kama ni hivyo piga total budget ya hizo kamati na mawaziri vivuli.
Hapo mtaendelea kweli na kama chadema wangechukua nchi je wangevunja hizo kamati
au tuiweke kwenye katiba
maoni yenu