Tata ya bana
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 304
- 369
Wakuu naomba kupata mwangaza je hizi app kama WhatsApp, google FB nk, NI taasisi zilizo live na wana ofisi zao, je huwa wanajigharamiaje coz kwa mfano mimi nanunua vocha huku naunga MB zangu nazitumia na mtandao husika wanakata gharama za huduma sasa hizi app maybe kule headquarters zao wanapataje malipo haya?
