Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Ha ha, hawez chk mkuuShemeji yenu alikuta naangalia akasema nipe namimi, hakuweza fika mwisho akaangalia pembeni.
Inahitaji roho ya paka kuitizama.
Ha ha, hawez chk mkuuShemeji yenu alikuta naangalia akasema nipe namimi, hakuweza fika mwisho akaangalia pembeni.
Inahitaji roho ya paka kuitizama.
Kila kitu mabeberu, mabeberu, mabeberu.... Kabla ya hapo lawama ilikuwa wakoloni, wakoloni wakoloni.... Ngoja tusubiri mabeberu yakiisha tutaanza kusikia makondoo, makondoo....Sidhani kama ni ukweli,hizi nchi za mabeberu Waziri Sana kwenye ku cook information
SawaKila kitu mabeberu, mabeberu, mabeberu.... Kabla ya hapo lawama ilikuwa wakoloni, wakoloni wakoloni.... Ngoja tusubiri mabeberu yakiisha tutaanza kusikia makondoo, makondoo....
Sisi kama Waislam wa Ahli Sunna Wal Jamaa
Jambo hilo kisheria,ni la kupingwa Vikali
lkn hatuna uthubutu wa asilimia zote,za kumtuhumu Saudia Arabia
na hili
Halina maana kwamba wao wamekingwa na kukosea,hapana
Bali kwa uliwemwengu wetu,bado kunahitajika jibu la kweli tena sahihi
Sisi kama Waislam wa Ahli Sunna Wal Jamaa
Jambo hilo kisheria,ni la kupingwa Vikali
lkn hatuna uthubutu wa asilimia zote,za kumtuhumu Saudia Arabia
na hili
Halina maana kwamba wao wamekingwa na kukosea,hapana
Bali kwa uliwemwengu wetu,bado kunahitajika jibu la kweli tena sahihi
Utapingia wapi ikiwa kitendo hicho ni miratul rasul na mmeagizwa mumgeze mtume View attachment 967075 mtume alimuua huyu mama kinyama View attachment 967121
Kama uongo kweka ukweli Mkuu!acha Uongo@Mgen
I know what i'm talking about. Naona unaongozwa na hisia. Pole sana. Dini ni adui yako mkubwa. Hatari kwa afya ya akili yako mkuu.Pole sana.Refer katika kile ulichokiandika kisha tafakari
Hata kama lina agenda, haimaanishi kwamba si kweli. Wanawindana sana Saudi na Uturuki. Mturuki kampiga bao msaudi kwasababu ya ushahidi walioukusanya. Ina maana wasaudi walikuwa under surveillance pengine 24/7 bila ya wao kujuwa. Wanarekodiana kila mahali. Bugs everywhere!Mkuu hili la Rais wa uturuki lina agenda kubwa sana nyuma ya pazia
I know what i'm talking about. Naona unaongozwa na hisia. Pole sana. Dini ni adui yako mkubwa. Hatari kwa afya ya akili yako mkuu.Pole sana.
Inahuzunisha Sana wangetumia mbinu nyingine kwa njia hii,hapana.Ndani ya ubalozi wa Saudi Arabia uliopo Turkey.
Jamaa machale yalimcheza lakini it was too late. Alimuona mmojawapo wa "watu wasiojulikana" ambaye alikuwa akimfahamu kuwa anafanya usalama wa Saudi. Alipomuona, akawa anasita na kuanza kumuuliza kuwa amekuja kufaya nini pale ubalozini?
Ndipo wakamvamia na kuanza kumkaba na kumkatakata akiwa mzima, pengine walianza kwa kumchinja. Ila jamaa alikuwa akipiga makelele na akilalamika kuwa hawezi kupumuwa, pia kuwaomba wamwache lakini wapi. Mwishowe jamaa aliyekuwa akimkatakata akawaambia wenzake waongeze sauti ya mziki kama hizo kelele zinawapa shida,
Ukafiri ndo kitu gani?Ukishasema sema "Ukafiri" tayari una dini. Pole mkuu haya mambo huondoa kabisa ufahamu.Dini gani Mkuu? Umajusi na ukafiri?
Hizo sawa
kabla ya kusema kuwa inafuata sheria lazima ujue sheria hiyo inasemaje.Nadhani hapa umebadiri topic kabisa, wauaji wale wa wale albino ni wapagani cause wanapokea maelekezo kwa waganga wa kienyeji ambao bila shaka dini zote zinawakataa hawa waganga, tukio la kuuawa huyu mwandishi limefanyikia ubalozini which means serikali ndio imebariki mauaji hayo na remember serikali ya Saudia ni ya kidini kwa maana ya Kiislam so kwa hili huwezi kukwepesha kwamba wana dini hao ndio walimuua huyu mwandishi, laity kama mwandishi angeuawa mitaani say hata mitaa ya miji ya Saudia we could sya wahuni (labda wasio mcha Mungu) ndio wametekeleza mauaji hayo lakini sio ndani ya ofisi za ubalozi wa nchi inayofata sharia!
HATA TANZANIA DINI FULANI NDIO WAKO WENGI, HIVYO HATA RECRUIT ZA WASIOJULIKANA IDADI YAO PIA ITAKUWA KUBWA.Hata israel panafanyika hijja.ila nao wanawaua WAPALESTINA.
UMESAHAU?
Kutamka ALLAH si tija. Je kuna makanisa mangapi yanayodhurumu watu kwa kutumia jina la Yesu kama alivyodhurumiwa nafasi Jamal kwa kutumia neno ALLAH.Busara gani, mara ngapi hao wafia dini huimba "Alllaaaaaaah" wakati wanachinja watu? Na ukibisha tu nakuwekea video clip live uone mwenyewe!