Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 34,637 Reaction score 37,962 Feb 21, 2023 #21 Mshana Jr said: Katika maisha kikubwa ni focus.. Wewe ndio master wa maisha yako.. Usiangalie wengine watasema nini Click to expand... Kaka Mshana Jr inaonekana siku moja unaweza ukaamua kufanya jambo la aibu hadharani. Hutajali wengine wanasema nini
Mshana Jr said: Katika maisha kikubwa ni focus.. Wewe ndio master wa maisha yako.. Usiangalie wengine watasema nini Click to expand... Kaka Mshana Jr inaonekana siku moja unaweza ukaamua kufanya jambo la aibu hadharani. Hutajali wengine wanasema nini
Sinoni JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 7,043 Reaction score 12,527 Feb 21, 2023 #22 Simba sc bado ipo kwenye daraja lake na kufungwa na Raja si jambo geni katika mpira wa miguu.
hp4510 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 8,289 Reaction score 8,622 Feb 21, 2023 #23 Boutafrica said: Timu irudi kwenye mikono ya Mgunda....full stop Click to expand... Mgunda angefungwa mngesema kocha ana uwezo mdogo anashindwa hata kufanya sub
Boutafrica said: Timu irudi kwenye mikono ya Mgunda....full stop Click to expand... Mgunda angefungwa mngesema kocha ana uwezo mdogo anashindwa hata kufanya sub
Caesar14 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2022 Posts 556 Reaction score 1,045 Feb 21, 2023 #24 Tangu Simba ipoteze dhidi ya Raja watu wanafungua threads kama wendawazimu,tatizo ni nini wakuu mpira wa miguu ndivyo ulivyo...
Tangu Simba ipoteze dhidi ya Raja watu wanafungua threads kama wendawazimu,tatizo ni nini wakuu mpira wa miguu ndivyo ulivyo...
kaligopelelo JF-Expert Member Joined Jun 20, 2013 Posts 2,871 Reaction score 4,155 Feb 21, 2023 #25 Mi naomba aitwe Kibu aje atolee maelezo Kwa niaba ua
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,279 Reaction score 832,323 Feb 21, 2023 #26 Ngalikihinja said: Kaka Mshana Jr inaonekana siku moja unaweza ukaamua kufanya jambo la aibu hadharani. Hutajali wengine wanasema nini Click to expand... Isubiri kwa hamu kubwa ikifika nijulishe....
Ngalikihinja said: Kaka Mshana Jr inaonekana siku moja unaweza ukaamua kufanya jambo la aibu hadharani. Hutajali wengine wanasema nini Click to expand... Isubiri kwa hamu kubwa ikifika nijulishe....
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,897 Reaction score 14,437 Feb 21, 2023 #27 Ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka