Jitafakari...!!!Habari zenu wana jukwaa?
Hivi hii picha inaa maana gani? kwa asili huwa najitahidi kufikiri ila kwa hii picha nmeshindwa kuilewa!!
Msaada wenu unahusika zaidi hapa kufumbua!View attachment 838237
Siyo Bange kweli hizi?Tumezoea kuona mtu akishika ktabu mkononi, na kutumia ubongo na macho kusoma na kutakafakali.Ukiangalia picha hiyo ni kinyume chake sehemu ya kichwa imeenda mkononi na na kitabu ambacho kilitakiwa kishikwe mkononi, kimeamia kichwani.
hakuna kitu kinachodumu milele, kuna mabadiliko makubwa sana (evolution) yatatokea miaka 500 ijayo.
1. Baadhi ya binadamu watapadilika kuwa samaki,na samaki watabadilika kuwa binadamu.
2. Baadhi yetu tutabadilika na kuwa na kichwa kimoja chenye macho matatu
3. Binadamu watakuwa wanauwezo wa kula mara moja tu kwa mwezi
4. kwenda mwezini itakuwa kama kwenda apo kariakoo kutembea .
Kwa philosphy iliyotumika apo huwezi elewa kitu, utaishia kufikiria bangi kwa sababu uwezo wako wa kufikirikia ndipo ulipofikia.Siyo Bange kweli hizi?
Maarifa kupitia maandiko/kitabu ndicho humuweka mtu mkamilifu.Habari zenu wana jukwaa?
Hivi hii picha inaa maana gani? kwa asili huwa najitahidi kufikiri ila kwa hii picha nmeshindwa kuilewa!!
Msaada wenu unahusika zaidi hapa kufumbua!View attachment 838237
Jitazame na kujichunguza kwanza wewe kabla ya kuwahukum wengineHabari zenu wana jukwaa?
Hivi hii picha inaa maana gani? kwa asili huwa najitahidi kufikiri ila kwa hii picha nmeshindwa kuilewa!!
Msaada wenu unahusika zaidi hapa kufumbua!View attachment 838237