Je, hii pesa niifanyie nini?

Je, hii pesa niifanyie nini?

mahadhialy

Member
Joined
Oct 19, 2019
Posts
45
Reaction score
24
Habari zenu wanaJf

Ninapenda kumshukuru Mungu nimefanikiwa kushika mil200 baada ya kufanya biashara ndogo ndogo kwa kila siku nilikuwa naweka 650,000 sasa nimefikia mwaka.

Sasa nataka hii pesa niiwekeze katika sekta ya viwanda sasa naomba msaada kiwanda gani naweza kuanzisha.
 
Habari zenu wanajf ninapenda kumshukuru mungu nimefanikiwa kushika mil200 baada ya kufanya biashara ndogo ndogo kwa kila siku nilikuwa naweka 650,000 sasa nimefikia mwaka. Sasa nataka hii pesa niiwekeze katika sekta ya viwanda sasa naomba msaada kiwanda gani naweza kuanzisha

650k profit kwa day n biashara ndogo ,acha kuota bwana mdogo
 
Wataalam wa viwanda watakuja.. Mimi ningekushauri utenge kiasi hata 5-10m au zaidi, invest kwenye tech based businesses, kuzalisha digital products zinazoweza kuscale na kufikia millions of people...with just 10% of your capital.. Unaweza invest ktk tech idea yenye uwezo wa kuleta hata 100% ROI... ni swala la time, team na resources zote kuwepo.. If you're interested, I'll be humble to share some tech ideas nlizozimaanisha hapo
Halafu hii ya tech based business nimeiona mara kadhaa humu na sijajua inakuwaje hasa, unaweza kufafanua mkuu?
 
Kiufupi mkuu tech based businesses, ni zile biashara zinazotumia teknolojia.. Especially internet and other areas pia kama IT... Na kutoa huduma au kuzalisha products zenye uwezo wa kuwafikia mamilioni ya watu

Mfano facebook, instagram, uber, Netflix, amazon.. Hapa kwetu tuna kupatana, zoom tz, etc zote zinafanya leverage ya internet and technology kufikia millions

Na hapo ndipo raha yake inapokuja, if utakuwa successful ..

Ishu ni kuzitumia fursa zilizopo lakin kwa kuweka ubunifu wa technologies ili kuboresha huduma/bidhaa na kuwafikia watu wengi zaid

Pia wapo jamaa wa EAFRUITS kama sjakosea, sijui start-ups nyingi za hapa.. Maybe kina shule direct, Benji Fernandes NALA etc

Wajuz ongezen nyama
Dah, umenipa mwanga kidogo, thanks man!
 
Habari zenu wanajf ninapenda kumshukuru mungu nimefanikiwa kushika mil200 baada ya kufanya biashara ndogo ndogo kwa kila siku nilikuwa naweka 650,000 sasa nimefikia mwaka. Sasa nataka hii pesa niiwekeze katika sekta ya viwanda sasa naomba msaada kiwanda gani naweza kuanzisha
Kuna aina tatu ya viwanda ambavyo navifanyia utafiti sasa hivi-Kimoja ni Cha Kuprocess mafuta ya Mawese na Kingine ni cha kufanya assembly ya pikipiki na kingine cha kuprocess nafaka.
 
Ningekushauri uendelee kufanya biashara hizo hizo ndogo ndogo unazosema zimekuletea mafanikio kwani kuwekeza katika shuhuri usiyoielewa unaweza kulizwa big time!!! Haya mambo ya IT waachie wenyewe walizane!
 
Back
Top Bottom