kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 259
Nimeguswa sana na mchezaji nguli wa Senegal Saido Mané kwa kulipia watu wa Taifa lake wa kipato cha chini ticket ya ndege na malazi kwenda kushuhudia fainali za kombe la AFCON tena kwa gharama kutoka mfukoni mwake.
Nimependa hii na namuomba Mungu japo niifanyie kwa kiwango cha mbali yetu na wakaribu nitakaofanikiwa kwa uwezo wangu.
Swali kwenu Wana JF je, wanasiasa wetu Wana tabia kama hiyo?
Nimependa hii na namuomba Mungu japo niifanyie kwa kiwango cha mbali yetu na wakaribu nitakaofanikiwa kwa uwezo wangu.
Swali kwenu Wana JF je, wanasiasa wetu Wana tabia kama hiyo?