Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Duhha ha huo ni ujanja wa mjini hilo chenza au chungwa la kijani likilowekwa kidogo kwenye sabuni ya unga linabadilika rangi na kua la njano hivyo linawavutia wateja kua tunda limeiva vizuri!!
Hatari sana hiyoMakubwa haya. Matunda yanaoshwa na sabuni
Dah hapo ndio umenikata maini kabisaaaAfu kama wanechanganya jik fulani hivi
Ndio hvyo hatuna jinsi af anaoshea barabarani kabisaDuuh kazi kweli kweli
Ndio hvyo na wewe unavyopenda matunda mh kazi unayoMakubwa haya. Matunda yanaoshwa na sabuni
Yani saiv sehemu salama ni matunda unayochuma mwenyewe mtini.Ndio hvyo na wewe unavyopenda matunda mh kazi unayo
Seriously??? Acha utani, hiyo ndio maana??? Lakini unajua sabuni ya unga uwa inachoma hata mikonoha ha huo ni ujanja wa mjini hilo chenza au chungwa la kijani likilowekwa kidogo kwenye sabuni ya unga linabadilika rangi na kua la njano hivyo linawavutia wateja kua tunda limeiva vizuri!!
Ni wewe nini huyo umeinama hapoWe usivuruge biashara za watu
Hapo unanunua kisha ukiingia kwa daladala unaamua kumenya walau moja upoze poze njaaNdio hvyo hatuna jinsi af anaoshea barabarani kabisa
Nimepiga ,ile anainuka akakuta ndio huyooo naondoka nikazuga nachatiHongera kwa kupiga picha. Hivi wenyewe walikuona wakati unapiga picha?
HahahahhahahhDuu acha ushilawadu