anataka awowe kwa pate za mme wa zamani???
Jamani, wanamme mbona uvivu wa kutoa hela umekuwa mkubwa hivi! !
Napenda kutoa ushauri wa bure kwa huyo mwanaume. Ni kheri kuoa mwanamke aliyeachika baada ya kudundwa sana na mwanaume hadi akajuta, kuliko kuoa mwanamke aliyefiwa na mwanaume ambaye alikuwa bado anampenda sana. Hii ni kwa kuwa kila mara mwanamke aliyefiwa atakuwa anaendelea kuwa na majonzi na kumbukumbu za marehemu wake, na hivyo kila tatizo dogo, atakuwa anamkumbuka marehemu wake, na kudhani kuwa kama mungu asingemchukua, basi tatizo hilo lisingemkuta. Atajaa simanzi hata raha ya ndoa haitakuwepo. Achana na wafiwa.
Peleka mawazo yako ya kijinga, hili Ndo uliloombwa ushauri? We Unataka Huyu aolewe na nani? Aisee jamaa achukue mzigo fresh, ila awe kidume anunue Pete Zake Mwenyewe!
Napenda kutoa ushauri wa bure kwa huyo mwanaume. Ni kheri kuoa mwanamke aliyeachika baada ya kudundwa sana na mwanaume hadi akajuta, kuliko kuoa mwanamke aliyefiwa na mwanaume ambaye alikuwa bado anampenda sana. Hii ni kwa kuwa kila mara mwanamke aliyefiwa atakuwa anaendelea kuwa na majonzi na kumbukumbu za marehemu wake, na hivyo kila tatizo dogo, atakuwa anamkumbuka marehemu wake, na kudhani kuwa kama mungu asingemchukua, basi tatizo hilo lisingemkuta. Atajaa simanzi hata raha ya ndoa haitakuwepo. Achana na wafiwa.
Habari zenyu wadau,long time sijatupia uzi ila leo ninao,tusaidiane!!
Kuna binti rafiki yangu,tumefahamiana kitambo sana hivyo awapo na lolote huwa ananishirikisha,tunaishi mji mmoja!!aliisha olewa kipindi cha nyuma ila mungu kwa mipango yake hakumpa nafasi binti huyu kufurahia ndoa yake takatafu waliyoifunga kikatoliki,baada ya kama miezi 3 ya ndoa Mungu alimchukua mumewe kipenzi katika ajali mbaya ya gari akiwa safarini Mbeya kikazi,bila shaka wote tunapata picha hali aliyokuwa nayo binti huyu,siwezi kuielezea!!Hawakuwa na mtoto.
Okey,miaka mitatu sasa imepita,mungu amempa uwezo wa kuyashinda maumivu,majonzi na upweke na sasa anahitaji kuendelea na maisha tena,amepata kijana ambaye wamependana kwa dhati,wanapanga kufunga ndoa,ishu inakuja katika pete zake za awali,tatu ukijumlisha na ya marehemu mume wake na zote anazivaa katika kidole chake,of course ni pete nzuri kwani ile ya ingejimenti ni ya gold na imenakishiwa na tanzanite(4 carats) na zile mbili ni white gold(3 grms kwa kila moja)
Sasa anawaza,
Je wakati ukifika ampatie huyo bwana mpya pete zote hizo ile wasinunue zingine na hatimae pete hizo hizo zijirudie katika vidole vyake na ile moja amvalishe mumewe siku ya ndoa?au huyo bwana anunue zingine?na kama akinunua zingine hizo za awali azifanyie nini?
Tusaidiane mawazo ili mjumbe mimi nipate cha kumshauri,asanteni:spy:
Mwambie rafiki yako pete za ndoa na za uchumba zinatambulisha wewe ni mke au mchumba wa huyo aliyekuvalisha so hakuna jinsi wala sababu na actually sio fair kwa mchumba mpya kuona unaendelea kuvaa pete za mume wake aliyefariki unless hayuko tayari kuanza rasmi mahusiano mengine mapya!anaweza akatafuta njia nyingine ya kumuenzi huyo mume marehemu lakini awe makini sana asije akajikuta anampa insecurity the new one!otherwise kila la kher na ndoa mpya SHE HAS TO KEEP ON LIVING!