Ndugu wana jf, hv mtu akiwa mtwara na mpenzi wake yuko bukoba na wala hakuna mawasiliano yoyote kati ya hawa wapenzi kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao, je kuna uwezekano wa ndoto zao kutimia walizowekeana? Na je kama ni vigumu, watafanyaje kuhakikisha wanafikia malengo yao mbali na obstacle ya umbali na kutokuwepo kwa mawasiliano?