E-level umesoma wapi mkuu?Hilo Ni tatizo la wanaoishia elimu ya E-level.....!
E-level umesoma wapi mkuu?Hilo Ni tatizo la wanaoishia elimu ya E-level.....!
Ndo shida ya vimchepuko vya kijinga, kikipewa lift kinataka kupiga na honi....
Huyo mwanaume acha avune alichokipanda na nnamuombea alee huyo baby boy, ndoa ivurugike mwisho wa siku awe kabambikiwa sio wake ndo atajua kwanini fundi aliweka zipu kwenye suruali
Umemaliza shule huko majuu? Mbona hiyo ni kawaida. Jana nilikuwa naongea Na jamaa mweusi ingawa si mtz, akasema watz ni wanafiki akikueleza kitu huna hakika Kama ni kweli. Sidhani kuna mwanamke hapa duniani anaweza kukubali umzalishe wewe uendelee Na nke wako thubutu. Hata akikueleza umtambulishe KWA big house ukafanya hivyo mwisho WA siku hatataka ulale big houseShost niliyesoma nae six form tumekutana mjini miezi michache, baada ya E-level yeye hakuendelea na shule tena, ameajiriwa kwenye taasisi Fulani. Maisha yake ya kawaida anasukuma gurudumu. Darasani kulikuwa na kijana mmoja alikuwa na miakili dizain wale wapenda kitabuu. Nimekutana na shost ananipa za masiku tele ndiyo aniambia amezaa na yule jamaa ambae ni engineer kwenye shirika moja kubwa mjini.
Ananieleza kwenye umri wa 30+ akiwa hana mtoto wala ndoa, alikutana na jamaa mjini, walianza kubadilishana namba za simu katika kuongea sijui walianza vipi lakini waligegedana ili tu dada apate mtoto. Kaka akiwa kwenye ndoa yake mke na mabinti wawili.
Mdada kupata mimba amejifungua baby boy. Tatizo ni kama huyu dada anataka kuvunja ndoa ya watu, ameshajua jamaa amechanganyikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa haishi kupiga simu aki-demand mahitaji ya mtoto.
My take, yeye alikuwa na shida ya mtoto, amlee mwanae asisumbue nyumba ya watu.
Ndo shida ya vimchepuko vya kijinga, kikipewa lift kinataka kupiga na honi....
Huyo mwanaume acha avune alichokipanda na nnamuombea alee huyo baby boy, ndoa ivurugike mwisho wa siku awe kabambikiwa sio wake ndo atajua kwanini fundi aliweka zipu kwenye suruali
Huyo kaka nae ni zombie sana....Kinachosikitisha, yeye alimuelezea mkaka shida yake kuwa anahitaji mtoto, kaka wa watu ajua yeye ni just a sperm donor sasa visa haviishi, anataka mtoto atambulishwe kwa big house.
Huyo kaka nae ni zombie sana....
Hivi hizo ni akili gani jamani, mtu anakuomba tu umpe mimba unakubali kirahisi, nadhani muda huko akili inaziwazia shahawa tu haziwazi mtoto
Angemwambia aende hospitali huko akapewe sperms za kwenye chupa, matatizo yote amejitakia mwenyewe.....
Wanawake harakati za kurubuni zilianza tangu enzi za Adam na Eva, Samsoni na delila haya sasa zamu ya shoga ako na Mr engineer
Angalia vizuri mdauE-level umesoma wapi mkuu?
Sasa umemshauri nini hiyo rafiki ako? Ana namba hadi za mke wa jamaa? Mke ameshajua uwepo wa huyo mtoto?Kibaya zaidi, aweza kumpigia simu jamaa usiku amfahamishe mtoto anatemperature, engineer akiwa anadrive mdada anapiga simu kwa mkewe 'unaona nikimuita tu anakuja' hii si adabu.
Sasa umemshauri nini hiyo rafiki ako? Ana namba hadi za mke wa jamaa? Mke ameshajua uwepo wa huyo mtoto?
Huyo jamaa simuonei huruma kwakweli
Ha ha ha dada kaua ndege wawili kwa jiwe moja lol, mtoto kapata na bado huduma za mtoto anapata tena huduma za lazma sio ombiSi ndiyo ninachoona ana nia ya kuvunja nyumba, alinipa story kuwa mwanangu anahitaji viatu, wakati engineer anawapeleka familia holiday, yaani kama si yeye aliyechomekea.
Kuna kadalili fulani ka wivu nakaona hapa kwa mtoa mada.Hata wewe? Dizaini uko na haraka Fulani kwenye simulizi yako
Bi dada alitaka mtoto kampata sasa anataka kuvuruga ndoa ya mwenzake........bwana naye anaonekana limbukeni kuwa na mtoto wa kiume ndio anachanganyikiwa ilikuwa zamani siku hizi watu hawaangali hilo