Picha ya Msichana na Mvulana waliojinyonga Kwa Pamoja Juu ya Mti Baada ya Kukataliwa na Wazazi wao Wasioane Kisa ni Kutoelewana kwa Familia Hizo.....JEEEEE ____????
A)NDIO DAWA
B)UJINGA
C)NDIO MAPENZI YA KWELI
Kaka zako ndio wameleeeeewa kwelikweli, kila siku wao ni kujiua kwa risasi na kuchoma nyumba.
Mi nilikuwa na bwana wa kichagga, mapenzi hajui,bahili na ana wivu ile mbaya, nikamwambia babu ehh, nimepata bwana jambazi, jipendeke akuvunjie duka lako.
mapenzi ni upofu hapo wamejihukumu hata mkiwalaumu hatasaidia jiulize wewee unafanyie nn mpenzi kama unaye kama huna siku ukikataliwa na wazazi utanyaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.