Je, hii ndio Demokrasia inayosemwa na viongozi wa Tanzania?

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Pichani aliyevaa shati la Kitenge ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Kaliua,Mkoani Tabora Dr. Pima na aliyevaa ushungi wa Njao nyuma ya Mkurugenzi ni Afisa Ustawi wa Jamii Mwanahamisi (Kaliua)na alievalia shati la CCM kulia kwa Mkurugenzi ni mkuu wa wilaya ya Kaliua,Abel Busalama na hapo ni wako kwenye mkutano wa hadhara wa kujiandaa na uchaguzi wa Serikali za mitaa katika kijiji cha Ugansa kata ya Usinge Wilaya ya Kaliua, Tabora.

Sema Neno
mkurugenzi.jpg
 
Pichani aliyevaa shati la Kitenge ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Kaliua,Mkoani Tabora Dr. Pima na aliyevaa ushungi wa Njao nyuma ya Mkurugenzi ni Afisa Ustawi wa Jamii Mwanahamisi (Kaliua)na alievalia shati la ccm kulia kwa Mkurugenzi ni mkuu wa wilaya ya Kaliua Abel Busalama ,na hapo ni wako kwenye mkutano wa Hadhara wa kujianda na uchaguzi wa serijali za mitaa katika kijiji cha Ugansa kata ya Usinge Wilaya ya Kaliua, Tabora.

Sema Neno
View attachment 1013178
Hapo tutegemee wizi na uporaji wa kura
 
Eeh, We si mbishi, nakudunda Halafu ukilalamika nakubambikia kesi nakufunga... Bora ubaki kimya kwa usalama wako..
 
VP habari za Tundu Lisu zimeisha au kiki haiuziki tena?
mada za Lissu kwa sasa zinawasilishwa na katibu mkuu wa ccm na na viongozi wengine mpaka kwenye mashina kwa agizo la mwenyekiti
 
Pichani aliyevaa shati la Kitenge ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Kaliua,Mkoani Tabora Dr. Pima na aliyevaa ushungi wa Njao nyuma ya Mkurugenzi ni Afisa Ustawi wa Jamii Mwanahamisi (Kaliua)na alievalia shati la ccm kulia kwa Mkurugenzi ni mkuu wa wilaya ya Kaliua Abel Busalama ,na hapo ni wako kwenye mkutano wa Hadhara wa kujianda na uchaguzi wa serijali za mitaa katika kijiji cha Ugansa kata ya Usinge Wilaya ya Kaliua, Tabora.

Sema Neno
View attachment 1013178
Ni aibu sana !
 
Pichani aliyevaa shati la Kitenge ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Kaliua,Mkoani Tabora Dr. Pima na aliyevaa ushungi wa Njao nyuma ya Mkurugenzi ni Afisa Ustawi wa Jamii Mwanahamisi (Kaliua)na alievalia shati la ccm kulia kwa Mkurugenzi ni mkuu wa wilaya ya Kaliua Abel Busalama ,na hapo ni wako kwenye mkutano wa Hadhara wa kujianda na uchaguzi wa serijali za mitaa katika kijiji cha Ugansa kata ya Usinge Wilaya ya Kaliua, Tabora.

Niliwahi kusema wakati kila Mtanzania anawita hawa watendaji wa serikali makahaba wa kisiasa, hawataacha. NI lazima tasnia ya habari ilitamke hili wazi kwamba tabia hii ni ukahaba wa kisiasa unaofanywa na watendaji wa serikali - kujiuza kwa wanasiasa kama vile kahaba. Labda hiyo itasaidia kuwafunulia wanachofanya ili waone aibu. Lakini ukweli ndio huo - wanafanya ukahaba, wa kisiasa.
 
Niliwahi kusema wakati kila Mtanzania anawita hawa watendaji wa serikali makahaba wa kisiasa, hawataacha. NI lazima tasnia ya habari ilitamke hili wazi kwamba tabia hii ni ukahaba wa kisiasa unaofanywa na watendaji wa serikali - kujiuza kwa wanasiasa kama vile kahaba. Labda hiyo itasaidia kuwafunulia wanachofanya ili waone aibu. Lakini ukweli ndio huo - wanafanya ukahaba, wa kisiasa.
Sheria ya vyama vya siasa na uanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pichani aliyevaa shati la Kitenge ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Kaliua,Mkoani Tabora Dr. Pima na aliyevaa ushungi wa Njao nyuma ya Mkurugenzi ni Afisa Ustawi wa Jamii Mwanahamisi (Kaliua)na alievalia shati la ccm kulia kwa Mkurugenzi ni mkuu wa wilaya ya Kaliua Abel Busalama ,na hapo ni wako kwenye mkutano wa Hadhara wa kujianda na uchaguzi wa serijali za mitaa katika kijiji cha Ugansa kata ya Usinge Wilaya ya Kaliua, Tabora.

Sema Neno
View attachment 1013178

Tatizo sio hawa kwani wanafahamika kuwa ni makada licha ya nafasi zao! Tatizo liko kwa upinzani kutokufanya juhudi zozote za ziada kudai Tume Huru ya Uchaguzi wakati wakijua kabisa kwamba mechi zikianza hawa hawa ndio waendesha mechi (refarii)! Ni kama vile hawaja jifunza chochote kutokana na chaguzi za marudio zilivyokuwa tata!
 
mkuu hapo hata watumishi wa umma waliambiwa ni lazima kushiriki na kweli baadhi walienda na wengine hawakwenda nchi imefika pabaya sana ccm wanaona tanzania ni mali yao hakuna mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom