chingaa
Member
- Jun 25, 2017
- 86
- 77
Wapendwa sijawai andika uzi wowote umu ndani.. Lakini kwa yanayo nikuta imebidi niandike
Familia yetu imejariwa watoto watatu
Wawili ni wakike na mmoja ndiyo wakiume ambaye ni MIMI.. Baba yetu Alifariki angali nipo kidato cha Tatu
Hivyo mama ndiyo alibeba jukumu la kutulea
Nilipo maliza elimu yangu ya kidato cha nne sikufanikiwa kujiunga na kidato cha Tano maana maksi nilizo pata hazikuniruhusu kuingia kidato cha TANO.
Mwaka jana nikaamua kufanya mtiani wa kidato cha nne kama PC
Ishalla mungu akasaidia nikapata credit zote Tatu nilizo kuwa nazitafuta...
Mwaka huu mwezi Huu inabidi ningekuwa tayari nshaa Anza masomo... Lakini kuna tatzo lilijitokeza... Mwezi wa pili mwaka huu mpenzi wangu alidaka UJAUZITO..
Kutokana na familia yetu ilikuwa kwenye mihangaiko ya kuandaa HARUSI ya DADA ETU wa kwanza, sikuoni kama itakuwa vyema kuwapa taarifa mapema kwa kuhofia kuwapa STRESS.
MWEZI Huu taree 13 ilikuwa send off ya dada.. Na siku mbili mbele ikawa HARUSI YAKE. pia baada ya harusi ikapita wiki moja. Mpenzi wangu kwao wakaanza kugundua kwamba ni MJAMZITO.. Sikuwa na namna yoyote Ile zaidi ya kutoa taarifa nyumbani kwamba kuna mtu yupo na UJAUZITO WANGU..
Napia mpenzi wangu akaja NYUMBANI KWETU.. walimpokea vizuri tu.. Na pia tunaishi nae vizuri tu...
ADHABU INAYO NIKUMBA
MAMA yangu amekataa kunipeleka shule.. Na Juma Tatu ya taree 3/7/2017 rasmi inabidi nianze masomo yangu ya ADVANCE.. Ukizingatia sijawai fanya kitu chochote ambacho kimewai COST familia yetu gharama yoyote Ile wala mimi sio mtu wa vurugu,pia sio mlevi, mwizi, mkabaji wala sio mtu wa MAKUNDI
Ndugu na Jamaa wamejaribu kumuelekeza MAMA kwamba itakuwa sio vizuri kuto nipeleka shule et kwa sababu kuna binti ANAUJAUZITO WANGU,, Pia mimi nimemwomba msamaha mama ili tu nianze masomo yangu ya ADVANCE,
lakini amekataa.. Jamani kusema ukweri MOYO WANGU UNANIUMA
Ukizingatia mimi ni mwanadamu na makosa niliumbiwa.. Sijawai kataa kusoma pia hata mama anajua kuwa nia yangu ni kusoma... Lakini ndo ameshaa amua kuto nisomesha kisa kuna Bint ANAUJAUZITO WANGU..
JE ADHABU HIYO INA NIFAA???
NA JE NIFANYE NINI JAMANI??
Familia yetu imejariwa watoto watatu
Wawili ni wakike na mmoja ndiyo wakiume ambaye ni MIMI.. Baba yetu Alifariki angali nipo kidato cha Tatu
Hivyo mama ndiyo alibeba jukumu la kutulea
Nilipo maliza elimu yangu ya kidato cha nne sikufanikiwa kujiunga na kidato cha Tano maana maksi nilizo pata hazikuniruhusu kuingia kidato cha TANO.
Mwaka jana nikaamua kufanya mtiani wa kidato cha nne kama PC
Ishalla mungu akasaidia nikapata credit zote Tatu nilizo kuwa nazitafuta...
Mwaka huu mwezi Huu inabidi ningekuwa tayari nshaa Anza masomo... Lakini kuna tatzo lilijitokeza... Mwezi wa pili mwaka huu mpenzi wangu alidaka UJAUZITO..
Kutokana na familia yetu ilikuwa kwenye mihangaiko ya kuandaa HARUSI ya DADA ETU wa kwanza, sikuoni kama itakuwa vyema kuwapa taarifa mapema kwa kuhofia kuwapa STRESS.
MWEZI Huu taree 13 ilikuwa send off ya dada.. Na siku mbili mbele ikawa HARUSI YAKE. pia baada ya harusi ikapita wiki moja. Mpenzi wangu kwao wakaanza kugundua kwamba ni MJAMZITO.. Sikuwa na namna yoyote Ile zaidi ya kutoa taarifa nyumbani kwamba kuna mtu yupo na UJAUZITO WANGU..
Napia mpenzi wangu akaja NYUMBANI KWETU.. walimpokea vizuri tu.. Na pia tunaishi nae vizuri tu...
ADHABU INAYO NIKUMBA
MAMA yangu amekataa kunipeleka shule.. Na Juma Tatu ya taree 3/7/2017 rasmi inabidi nianze masomo yangu ya ADVANCE.. Ukizingatia sijawai fanya kitu chochote ambacho kimewai COST familia yetu gharama yoyote Ile wala mimi sio mtu wa vurugu,pia sio mlevi, mwizi, mkabaji wala sio mtu wa MAKUNDI
Ndugu na Jamaa wamejaribu kumuelekeza MAMA kwamba itakuwa sio vizuri kuto nipeleka shule et kwa sababu kuna binti ANAUJAUZITO WANGU,, Pia mimi nimemwomba msamaha mama ili tu nianze masomo yangu ya ADVANCE,
lakini amekataa.. Jamani kusema ukweri MOYO WANGU UNANIUMA
Ukizingatia mimi ni mwanadamu na makosa niliumbiwa.. Sijawai kataa kusoma pia hata mama anajua kuwa nia yangu ni kusoma... Lakini ndo ameshaa amua kuto nisomesha kisa kuna Bint ANAUJAUZITO WANGU..
JE ADHABU HIYO INA NIFAA???
NA JE NIFANYE NINI JAMANI??