Hahaha Hapana nimemaliza bachelor natamani kuendelea. Ila hali ya uchumi home hairuhusu mkuuMasters mzee wew c mtu mzma kabsa
By the wayMasters hmn mkopo
Tuanzie hapa.Hahaha Hapana nimemaliza bachelor natamani kuendelea. Ila hali ya uchumi home hairuhusu mkuu
Katafutr hela uanze maisha,acha ujinga.Hahaha Hapana nimemaliza bachelor natamani kuendelea. Ila hali ya uchumi home hairuhusu mkuu
Kavu sana ungeweka maji au mate kidogoMasters mzee wew c mtu mzma kabsa
By the wayMasters hmn mkopo
Asante kwa ushauri mzuri mkuuIyo hela ya kufanya masters kafanye hata shughuli ya kilimo utapoteza hela yako bure na mda unaenda kwann usiende veta mapema sn ili utengeneze maisha yako mapema
Inategema na uwezo wa mzazi anaweza.Hivi ukishakuwa Na umri Wa 30s ..3rd floor do u think hata mzazi atakusaidia Hela...kama hutaki kuzitafuta mwenyewe
Hawatoagi mzee masters ni gharama sana mtafilisi taifa bureHabari wadau Naomba kufahamu kama kuna anayejua iwapo bodi ya mikopo wanatoa Pia na wanaofanya masters.
Yani we acha tu mkuu Munch wa annabelletz47. Umeona majibu y’a wadau. Eti nishakua mzee. Kwani elimu ina mwisho?Huu Uzi umejaa vilaza inaonekana elimu Tanzania sio kipaumbele zaidi ya Ajira au kutafuta Hela, hii nchi itakukua Maskini hvhv hata tukifufuka mwaka 2100
Thanks I’ll look it up mkuuMaster wanatoa mkopo
Degree nimesoma na vizee vinne 50+ lakn humu wajinga wengi wanajua dunia ni kazi tu za halmshaurYani we acha tu mkuu Munch wa annabelletz47. Umeona majibu y’a wadau. Eti nishakua mzee. Kwani elimu ina mwisho?