Je haya ni kweli? Nini chanzo cha usaliti?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,938
1,437
Fatulia mazungumzo haya ya mme na mke wakiwa kitandani baada ya kutoka kwenye party. Niliyoyanasa wakati napiga chabo

HUSBAND: Who was that man were u dancing with?
WIFE: A friend of ziglers
HUSBAND: What did he want?
WIFE: mhhhh sex ..... upstairs
HUSBAND:eek:hhh He Just wanted to fu** my wife
WIFE: yes
Husband:Any way I guess that is understandable
WIFE: Whaaat ? !!! Understandable ??? !!!!!!
HUSBAND: Yes bcs ure very very Beatiful woman

WIFE: wait wait .. is am beatiful woman.. the only reason any man ever wants to talk 2 me..is bcs he wants to fu*K me. Is that what u re saying?!!!!!

HUSBAND: Well i dont think it's quite that black and white.. but I think we both know what men are like.

WIFE:On that basis I should conclude u wanted to fu*K those two models u were talking with
HUSBAND: There are exceptions
WIFE : And what makes u an exception?
HUSBAND : What makes me an exception is thaaat I happen to be in love with u and we are married and because I would never lie to you or hurt you

WIFE: Do u realise what u re saying is that the only reason you wouldnt https://jamii.app/JFUserGuide those models is consideration for me not bcs u realy wouldnt want to
HUSBAND : Lets just relax darling . This is making u agressive

WIFE: No y cant u give me a straigh fuc***ng answer
HUSBAND : what are we arguing here?

WIFE
:am not arguing am just trying to find out where you're coming from
.
.
.

  • Je wewe kwa nn unahisi huwezi kumsaliti mpenzi wako au kishawishi gani kinaweza kukufanya umsaliti mpenzi wako???

  • Je nini kilitokea kwenye chabo hii
ukipenda kujua kama Husband alipata ""chakula cha usiku",events zilozofuata baada ya hapo( Usaliti ukiwemo) na mengineyo tafuta video inaitwa Eyes wide shut. wamecheza Nikole kidman na Tom Cruise.


Nawasilisha kwa mjadala.
 
nitamsaliti mpenzi wangu pale nikikiosa kile nachopata kila siku,
care,attention,sex etc!:smilez:
 
nitamsaliti mpenzi wangu pale nikikiosa kile nachopata kila siku,
care,attention,sex etc!:smilez:
Je ni kweli hivyo vitu unavyotaja ukitoa sex vinapugua wawili wapatato mtoto na hizo care, attention zinahamia kwa mtoto au watoto. What do u say about dat ?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom