Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 261
- 295
Habarini waungwana poleni na majukumu?
Moja kwa moja niende kwenye mada kama ilivyo tajwa hapo juu ,Waswahili wanasema mshika mawili moja humponyoka je hivi ndivyo ndugu yetu harmonize hatakavyo ponyokwa na muziki kwa kuingilia siasa.
Sio jambo baya kwa mtu kuwa na upande wake (chama cha siasa) anachounga mkono ila si vyema kwa msanii kama yeye kujionesha hadharani tena kwa kupitia jina ku sapoti siasa fulani kinamna moja naona kama hii itagawa sana mashabiki wake, au ndo anajipigia kampeni chini kwa chini ili awe muheshimiwa.
Kiukweli hajazungumza jambo baya na yote aliozungumza ni ukweli, ila sidhani kama hii ni vyema kwa msanii kama yeye maana atagawa mashabiki zake na sio lazima kila msanii mkubwa mwenye influence awe mbunge, Ubunge ni cheo na pia nidhama na nikipaji pia mimi nadhani konde boy anapaswa kufanya muziki siasa hawaachie wanasiasa mfano mzuri ni kwa king kiba
Professor J yeye alikuwa mwanaharakati tokea mwanzoni hata ukisikiliza mashairi yake kwenye ndio mzee unajua dhahiri huyu ana siasa ndani yake lakini sio kwa harmonize atapotea
Nawasilisha.
Moja kwa moja niende kwenye mada kama ilivyo tajwa hapo juu ,Waswahili wanasema mshika mawili moja humponyoka je hivi ndivyo ndugu yetu harmonize hatakavyo ponyokwa na muziki kwa kuingilia siasa.
Sio jambo baya kwa mtu kuwa na upande wake (chama cha siasa) anachounga mkono ila si vyema kwa msanii kama yeye kujionesha hadharani tena kwa kupitia jina ku sapoti siasa fulani kinamna moja naona kama hii itagawa sana mashabiki wake, au ndo anajipigia kampeni chini kwa chini ili awe muheshimiwa.
Kiukweli hajazungumza jambo baya na yote aliozungumza ni ukweli, ila sidhani kama hii ni vyema kwa msanii kama yeye maana atagawa mashabiki zake na sio lazima kila msanii mkubwa mwenye influence awe mbunge, Ubunge ni cheo na pia nidhama na nikipaji pia mimi nadhani konde boy anapaswa kufanya muziki siasa hawaachie wanasiasa mfano mzuri ni kwa king kiba
Professor J yeye alikuwa mwanaharakati tokea mwanzoni hata ukisikiliza mashairi yake kwenye ndio mzee unajua dhahiri huyu ana siasa ndani yake lakini sio kwa harmonize atapotea
Nawasilisha.