GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,912
Mtaalam Mmoja wa masuala ya Ngono amesema kwamba Mwanamke yoyote akimaliza Kufanya Tendo la Ndoa na hata la Uzinifu anatakiwa aseme ( amwambie ) Mwanaume ASANTE SANA ( AMSHUKURU ) kwani Wao Wanawake ndiyo huwa ' wanakunwa ' na ' kukunika ' vizuri kuliko Wanaume. Amesema kuwa Mwanaume huwa anasikia Utamu wa 50% tu tena pale mwanzoni akiwa anauingiza Mkuyenge wake ila kwa Mwanamke kadri Mbunye yake inavyozidi Kusuguliwa Utamu wake huwa unakuwa kati ya 85% hadi 100% kabisa.
Je, yupo sahihi?
Je, yupo sahihi?