Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,159
- 162,578
Hivi ukitaka kujua mtu fulani amechalala,biashara zake zimeyumba au kipato chake kimeshuka, ni mpaka akwambie sina hela?Ni mpaka ujue kwa sasa account yake/zake zina fedha kiasi gani tofauti na siku za nyuma?
Kwa mfano, ukiona mtu au jirani yako watoto wake wamefukuzwa shule bado utakuwa huelewi?Ukiona magari yamepaki tu nyumbani kwake na anatembea kwa mguu bado utakuwa huelewi?Ukiona mahudhurio yake Bar yamepungua na ameacha kutumia vinywaji vya gharama bado tu utakuwa huelewi?
Ni wakati wa kila mtu kujiongeza na hili haliitaji hata shahada ya chuo kikuu kulijua.
Kwa mfano, ukiona mtu au jirani yako watoto wake wamefukuzwa shule bado utakuwa huelewi?Ukiona magari yamepaki tu nyumbani kwake na anatembea kwa mguu bado utakuwa huelewi?Ukiona mahudhurio yake Bar yamepungua na ameacha kutumia vinywaji vya gharama bado tu utakuwa huelewi?
Ni wakati wa kila mtu kujiongeza na hili haliitaji hata shahada ya chuo kikuu kulijua.