Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania?

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania? Nauliza hivyo kwa kuwa sina uhakika wa mafanikio aliyoiletea Tanzania enzi zake na kwa sasa katika sehemu anazoziongoza. Mwenye ushahidi wa mafanikio katika sehemu anazoziongoza sasa atueleze nkwani sina uhakika na wala siamini kama anaweza kuiletea Tanzania mafanio katika ngazi ya Rais. Naleta kwenu tuijadili mada hii.
 
Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania? Nauliza hivyo kwa kuwa sina uhakika wa mafanikio aliyoiletea Tanzania enzi zake na kwa sasa katika sehemu anazoziongoza. Mwenye ushahidi wa mafanikio katika sehemu anazoziongoza sasa atueleze nkwani sina uhakika na wala siamini kama anaweza kuiletea Tanzania mafanio katika ngazi ya Rais. Naleta kwenu tuijadili mada hii.

Niliwahi kusikia katika miaka ya 80 aliwahi kusaidia kupatikana kwa gari nisan ambazo zilipelekwa katika taasisi za serikali ikiwemo katika sekta ya ulinzi.
 
Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania? Nauliza hivyo kwa kuwa sina uhakika wa mafanikio aliyoiletea Tanzania enzi zake na kwa sasa katika sehemu anazoziongoza. Mwenye ushahidi wa mafanikio katika sehemu anazoziongoza sasa atueleze nkwani sina uhakika na wala siamini kama anaweza kuiletea Tanzania mafanio katika ngazi ya Rais. Naleta kwenu tuijadili mada hii.
Hakuna kiongozi mzalendo na muadilifu tuliyepata kuwa nae lm Mwl.Nyerere.Baada ya kufariki marEDWARD MORINGE SOKOINE mwl.Nyerere alimchagua Dr.Salim km waziri mkuu wa muda na baadae akapendekeza jina lake AU na UN.je unafikiri asongetambua uwezo wake angefanya haya?
 
Hakuna kiongozi mzalendo na muadilifu tuliyepata kuwa nae lm Mwl.Nyerere.Baada ya kufariki marEDWARD MORINGE SOKOINE mwl.Nyerere alimchagua Dr.Salim km waziri mkuu wa muda na baadae akapendekeza jina lake AU na UN.je unafikiri asongetambua uwezo wake angefanya haya?
Hana lolote fuatilia anakoongaza kwa sasa mafisadi wanamtumia kama uchochoro sasa akiwa Rais itakuwaje na sasa ndio amechoka kabisa.
 
Hakuna kiongozi mzalendo na muadilifu tuliyepata kuwa nae lm Mwl.Nyerere.Baada ya kufariki marEDWARD MORINGE SOKOINE mwl.Nyerere alimchagua Dr.Salim km waziri mkuu wa muda na baadae akapendekeza jina lake AU na UN.je unafikiri asongetambua uwezo wake angefanya haya?

Hujajibu swali.

Hujaulizwa uzalendo, hata mtoto wa shule ya msingi anaweza kuwa na uzalendo.

Hujaulizwa uwezo, hata Mugabe ana uwezo na anawatesa wananchi wake.

Umeulizwa mafanikio, kuna mtu kasema magari. Kuleta magari ya msaada ndo epitomy ya mafanikio ya Salim.

Kuchaguliwa na Nyerere si tija, Nyerere alimchagua Mkapa pia, matokeo yake tumeona.
 
Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania? Nauliza hivyo kwa kuwa sina uhakika wa mafanikio aliyoiletea Tanzania enzi zake na kwa sasa katika sehemu anazoziongoza. Mwenye ushahidi wa mafanikio katika sehemu anazoziongoza sasa atueleze nkwani sina uhakika na wala siamini kama anaweza kuiletea Tanzania mafanio katika ngazi ya Rais. Naleta kwenu tuijadili mada hii.
SIJUI ALIYEKUWA BALOZI WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA MWAKA 1976 WAKATI iSRAELI INAOKOA MATEKA UGANDA ALIKUWA NANI? MAANA BALOZI HUYO WA KITANZANIA ALITUKANA MATUSI MAKUBWA NA MABAYA SANA KWA TAIFA LA iSRAEL KUOKOA MATEKA WAKE PALE ENTEBE. UKIYASOMA YALE MATUSI KATIKA KITABU CHA 90 MINUTES AT ENETE utahudhunika moyo sana kwa jinsi balozi yule wa Tanzania alivyojifanya ni tanzania ni taifa la kiarabu na kulialia kama lipo the arab league. sijajua balozi huyo alikuwa ni nani mwaka huo 1976!
 
Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania? Nauliza hivyo kwa kuwa sina uhakika wa mafanikio aliyoiletea Tanzania enzi zake na kwa sasa katika sehemu anazoziongoza. Mwenye ushahidi wa mafanikio katika sehemu anazoziongoza sasa atueleze nkwani sina uhakika na wala siamini kama anaweza kuiletea Tanzania mafanio katika ngazi ya Rais. Naleta kwenu tuijadili mada hii.
alimleta Arafat tanzania !
palestinian day na taifa kutukana wayahudi kwa wiki moja kila mwaka !
Tanzania kuwashabikia wapalestina na kuwabeza wayahudi kwa muda mrefu!
Vijana wa tanznaia kumchezea kwata Arafat uwanja wa taifa!

zaidi ya hayo mimi siyaoni mengine yeyote yale ya maana !
 
Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania? Huyu ndiyo nani tena ? maana kuna Salim Ahmed Salim.
 
Je Dr. Salim Hamed Salim ana mafanikio yoyote kwa Tanzania? Nauliza hivyo kwa kuwa sina uhakika wa mafanikio aliyoiletea Tanzania enzi zake na kwa sasa katika sehemu anazoziongoza. Mwenye ushahidi wa mafanikio katika sehemu anazoziongoza sasa atueleze nkwani sina uhakika na wala siamini kama anaweza kuiletea Tanzania mafanio katika ngazi ya Rais. Naleta kwenu tuijadili mada hii.
Je na Lowassa ameleta mafanikio gani kwa taiga hili la Tanzania?Nijibu mmaroroni a.k.a mleta mada
 
Uliyeleta mada hii huna logic,unajua maana ya demokrasia kweli?Huo ni ushamba na ushamba ni mzigo,ufahamu wako ni mdogo ,hata mtoto mdogo anajua unalenga kumshambulia mtu.Unakuwa kuwadi wa kisiasa baadae ukisha achwa solemba unamgeuka aliyekutuma kuwachafua wenziwe .Ni laana hiyo,wote waliofanya unayoya anzisha sasa hali zao ni dhoofu bin taaban.That is a very bad reputation,tena ulaaniwe. Wapende watanzania wezako wote ,usimbague yeyote,atakayekuzika humjui.
 
Hujajibu swali.Hujaulizwa uzalendo, hata mtoto wa shule ya msingi anaweza kuwa na uzalendo.Hujaulizwa uwezo, hata Mugabe ana uwezo na anawatesa wananchi wake.Umeulizwa mafanikio, kuna mtu kasema magari. Kuleta magari ya msaada ndo epitomy ya mafanikio ya Salim.Kuchaguliwa na Nyerere si tija, Nyerere alimchagua Mkapa pia, matokeo yake tumeona.
Mafanikio (archievements) unapimaje? Sio kwa nyadhifa alizopitia, madaraka aliyotumia? Na mambo yaliyofanyika ktk utumishi wake....unazungumza ya mkapa aliyoondoka madarakani ameacha hela nyingi hazina ss mnaishia kukopa hela zetu NSSF? Pima mafanikio kwa vitendo.Hakuna serekali/kiongozi atakae kaa madarakani bila kufanya makosa ss yatumasa kulinganisha makosa na mambo sahihi aliyofanya ndio tutapata mafanikio...achievements
 
SIJUI ALIYEKUWA BALOZI WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA MWAKA 1976 WAKATI iSRAELI INAOKOA MATEKA UGANDA ALIKUWA NANI? MAANA BALOZI HUYO WA KITANZANIA ALITUKANA MATUSI MAKUBWA NA MABAYA SANA KWA TAIFA LA iSRAEL KUOKOA MATEKA WAKE PALE ENTEBE. UKIYASOMA YALE MATUSI KATIKA KITABU CHA 90 MINUTES AT ENETE utahudhunika moyo sana kwa jinsi balozi yule wa Tanzania alivyojifanya ni tanzania ni taifa la kiarabu na kulialia kama lipo the arab league. sijajua balozi huyo alikuwa ni nani mwaka huo 1976!

Ni yeye Dr.Salim Ahmed Salim, kabla ya kum-judge niambie sera za Taifa Tanzania zilikuwa vp wakati ule kuhusu palestine na Israel? Mwl huyo huyo hakuvunja uhusiano na Israel? Unategemea balozi aliyetumwa na Tanzania angefanya vp? Labda kwa taarifa ndogo tu huyu ni balozi aliyeteuliwa akiwa na umri mdogo kabisa (miaka 18) kwa historia ya Taifa letu
 
Dr.Salimu hana uwezo wa kuiongoza Tanzania kwa sasa. Ni kweli ana reputation na heshima iliyojengekwa kwa ustaraabu wake lakini haimaanishi ndio anauwezo kwa kuiongoza Tanzania. Ni watu wanaopenda kuonekana wema na hivyo yatakuwa yale yale ya kukaa kimya yanapotokea mambo magumu.

Kwa sasa Tanzania ilahitaji mtu Bold, mbabe wa haki ambaye hataogopa wala kujichekea chekea pale anapoona haki haitendeki. Hata ogopa makundi, mafisadi na kushughulikia matatizo ya udini yaliyoibuka sasa kwa kasi bila woga wala kusikilia kwanza eti ndio atoe msimamo. Matatizo ya uchumi, uongozi bora, amani, nakadhalika.

In general ni mayai ku deal na mambo magumu. tunahitaji mtu shupavu zaidi kuliko yeye.
Kuhusu mafanikio sijaona mafanikio yeyote aliyeiletea Tanzania labda sifa tu wakati alipokuwa AU. Mtu kuleta sifa haimaanishi anauwezo wa kuongoza. Hii nchi sasahivi ni ngumu kuiongoza hivyo hatuhitaji watu wapole tena. TENA WAPOLE KUTETEA HAKI?
 
Hakuna kiongozi mzalendo na muadilifu tuliyepata kuwa nae lm Mwl.Nyerere.Baada ya kufariki marEDWARD MORINGE SOKOINE mwl.Nyerere alimchagua Dr.Salim km waziri mkuu wa muda na baadae akapendekeza jina lake AU na UN.je unafikiri asongetambua uwezo wake angefanya haya?

ameiletea mafanikio gani nchi? au mafanikio yake ndio hayo ya kuteuliwa na nyerere?
 
Salim Ahmed Salim (born 23
January 1942, Zanzibar, present-day
Tanzania) a Tanzanian diplomat who
has worked in the international
diplomatic arena since the early
1960s. Salim is married to Amne
and they have three children:
Maryam, Ali and Ahmed.[1]
Education
He was educated at Lumumba
College in Zanzibar and later
pursued his undergraduate studies
at the St. Stephen's College of the
University of Delhi and obtained his
Masters degree in International
Affairs from the School of
International and Public Affairs at
Columbia University in New York. He
became a student activist in the
early 1960s and was founder and
first Vice President of the All-
Zanzibar Student union.
↑Jump back a section
Positions held in Tanzania
Chief Editor of a Zanzibar daily
paper, Secretary General of the All-
Zanzibar Journalists Organisation
1963–1964
Minister for Foreign Affairs 1980–
1984
Prime Minister of Tanzania 1984–
1985
Deputy Prime Minister of Tanzania
1986–1989
Minister for Defence and National
Service 1986–1989
President of the Julius K. Nyerere
Foundation 2001 – current
↑Jump back a section
Diplomatic positions held
Deputy Chief Representative of the
Zanzibar Office based in Havana,
Cuba 1961–1962
Tanzania Ambassador to the Arab
Republic of Egypt 1964–1965
Tanzanian High Commissioner (i.e.
Ambassador) to India 1965–1968
Tanzania Ambassador to the
People’s Republic of China 1969–
1970
Permanent Representative of
Tanzania to the United Nations
1970–1980[2]
Tanzania Ambassador to Cuba
1970–1980 (served while at the UN)
Tanzanian High Commissioner to
Guyana, Barbados, Jamaica, Trinidad
& Tobago 1970–1980 (served while
at the UN)
Secretary-General of the OAU
1989–2001
African Union Special Envoy on the
Darfur Conflict 2004–2008
Positions at the United Nations
June/July 1972: Chairman of the
United Nations Special Mission to
Niue
August 1972: Drafting Committee
of the Political Committee of the
Ministerial Conference of non-
Aligned States, Georgetown, Guyana
April 1973: Chairman of the
Political Committee of International
Conference of Experts in Support of
the Victims of Colonialism and
Apartheid in Southern Africa, Oslo
1975: Chairman of the Security
Council's Committee on Sanctions
against Southern Rhodesia
1976: President of the United
Nations Security Council
1979: President of the United
Nations General Assembly for the
Thirty-fourth, Sixth emergency
special, Seventh emergency special,
and Eleventh special sessions.
Other diplomatic positions
At the continental level, following
the invitation of the President of the
African Development Bank, he has
since March, 2002 been acting as
African Water Ambassador whose
responsibilities include advocacy,
sensitization, and mobilization of
support on African water issues. He
also serves as:
Chairperson, Advisory Board,
Institute of Security Studies (ISS)
based in Pretoria, South Africa
Chairperson of the International
Board of Trustees, Africa
Humanitarian Action (AHI) based in
Addis Ababa, Ethiopia
Member and Chairperson of the
Advisory Board of Trustees of the
Institute of Peace, Leadership and
Governance, Africa University,
Mutare, Zimbabwe
Member of the Panel of the Wise, a
consultative body of the African
Union[3]
At international level, Salim serves
on the following boards, panels and
commissions:
Co-chair, Eminent Persons Group
(EPG) on Small Arms and Light
Weapons (Secretariat, based in
Washington DC)
Member of the Board at the Mo
Ibrahim Foundation, an organisation
which supports good governance
and great leadership in Africa. Salim
is also Chair of the Foundation’s
Ibrahim Prize Committee, having
taken over from the inaugural chair,
Kofi Annan in 2011.
Member of the Global Leadership
Foundation
Member of the Board of the South
Centre (Secretariat based in
Geneva)
Member, Policy Advisory
Commission, World Intellectual
Property Organization (WIPO)
Member of the Foundation Council,
Centre for Humanitarian Dialogue
based in Geneva
Eminent Member of the Sergio
Vieira de Mello Foundation
↑Jump back a section
Honours and awards
Honours
Liberia: Order of the Star of
Africa, 1980
Tanzania: Order of the United
Republic of Tanzania, 1985
Rwanda: Order of Mille Collines,
1993
Republic of the Congo: Grand
Cross of the Order of Devotion, 1994
Central African Republic: Grand
Officer of the Order of Merit, 1994
Libya: Medal of Africa, 1999
Senegal: Grand Officer of the
National Order of the Lion, 2000
Sudan: Order of the Two Niles,
2001
Algeria: Ordre El-Athir, 2001
Togo: Order of Mono, 2001
Mali: Commander of the
National Order of Mali, 2001
South Africa: Order of the
Companions of O. R. Tambo (Gold),
2004
Tanzania: Order of the Uhuru
Torch (Second Class), 2011
Honorary degrees
University of the Philippines Los
Baños, Doctor of Laws, 1980
University of Maiduguri, Doctor of
Humanities, 1983
University of Mauritius, Doctor of
Civil Law, 1991
University of Khartoum, Doctor of
Arts in International Affairs, 1995
University of Bologna, Doctor of
Philosophy in International
Relations, 1996
University of Cape Town, Doctor of
Laws, 1998[4]
Addis Ababa University, Doctor of
Laws, 2003[5]
 
Salim Ahmed Salim (born 23
January 1942, Zanzibar, present-day
Tanzania) a Tanzanian diplomat who
has worked in the international
diplomatic arena since the early
1960s. Salim is married to Amne
and they have three children:
Maryam, Ali and Ahmed.[1]
Education
He was educated at Lumumba
College in Zanzibar and later
pursued his undergraduate studies
at the St. Stephen's College of the
University of Delhi and obtained his
Masters degree in International
Affairs from the School of
International and Public Affairs at
Columbia University in New York. He
became a student activist in the
early 1960s and was founder and
first Vice President of the All-
Zanzibar Student union.
↑Jump back a section
Positions held in Tanzania
Chief Editor of a Zanzibar daily
paper, Secretary General of the All-
Zanzibar Journalists Organisation
1963–1964
Minister for Foreign Affairs 1980–
1984
Prime Minister of Tanzania 1984–
1985
Deputy Prime Minister of Tanzania
1986–1989
Minister for Defence and National
Service 1986–1989
President of the Julius K. Nyerere
Foundation 2001 – current
↑Jump back a section
Diplomatic positions held
Deputy Chief Representative of the
Zanzibar Office based in Havana,
Cuba 1961–1962
Tanzania Ambassador to the Arab
Republic of Egypt 1964–1965
Tanzanian High Commissioner (i.e.
Ambassador) to India 1965–1968
Tanzania Ambassador to the
People’s Republic of China 1969–
1970
Permanent Representative of
Tanzania to the United Nations
1970–1980[2]
Tanzania Ambassador to Cuba
1970–1980 (served while at the UN)
Tanzanian High Commissioner to
Guyana, Barbados, Jamaica, Trinidad
& Tobago 1970–1980 (served while
at the UN)
Secretary-General of the OAU
1989–2001
African Union Special Envoy on the
Darfur Conflict 2004–2008
Positions at the United Nations
June/July 1972: Chairman of the
United Nations Special Mission to
Niue
August 1972: Drafting Committee
of the Political Committee of the
Ministerial Conference of non-
Aligned States, Georgetown, Guyana
April 1973: Chairman of the
Political Committee of International
Conference of Experts in Support of
the Victims of Colonialism and
Apartheid in Southern Africa, Oslo
1975: Chairman of the Security
Council's Committee on Sanctions
against Southern Rhodesia
1976: President of the United
Nations Security Council
1979: President of the United
Nations General Assembly for the
Thirty-fourth, Sixth emergency
special, Seventh emergency special,
and Eleventh special sessions.
Other diplomatic positions
At the continental level, following
the invitation of the President of the
African Development Bank, he has
since March, 2002 been acting as
African Water Ambassador whose
responsibilities include advocacy,
sensitization, and mobilization of
support on African water issues. He
also serves as:
Chairperson, Advisory Board,
Institute of Security Studies (ISS)
based in Pretoria, South Africa
Chairperson of the International
Board of Trustees, Africa
Humanitarian Action (AHI) based in
Addis Ababa, Ethiopia
Member and Chairperson of the
Advisory Board of Trustees of the
Institute of Peace, Leadership and
Governance, Africa University,
Mutare, Zimbabwe
Member of the Panel of the Wise, a
consultative body of the African
Union[3]
At international level, Salim serves
on the following boards, panels and
commissions:
Co-chair, Eminent Persons Group
(EPG) on Small Arms and Light
Weapons (Secretariat, based in
Washington DC)
Member of the Board at the Mo
Ibrahim Foundation, an organisation
which supports good governance
and great leadership in Africa. Salim
is also Chair of the Foundation’s
Ibrahim Prize Committee, having
taken over from the inaugural chair,
Kofi Annan in 2011.
Member of the Global Leadership
Foundation
Member of the Board of the South
Centre (Secretariat based in
Geneva)
Member, Policy Advisory
Commission, World Intellectual
Property Organization (WIPO)
Member of the Foundation Council,
Centre for Humanitarian Dialogue
based in Geneva
Eminent Member of the Sergio
Vieira de Mello Foundation
↑Jump back a section
Honours and awards
Honours
Liberia: Order of the Star of
Africa, 1980
Tanzania: Order of the United
Republic of Tanzania, 1985
Rwanda: Order of Mille Collines,
1993
Republic of the Congo: Grand
Cross of the Order of Devotion, 1994
Central African Republic: Grand
Officer of the Order of Merit, 1994
Libya: Medal of Africa, 1999
Senegal: Grand Officer of the
National Order of the Lion, 2000
Sudan: Order of the Two Niles,
2001
Algeria: Ordre El-Athir, 2001
Togo: Order of Mono, 2001
Mali: Commander of the
National Order of Mali, 2001
South Africa: Order of the
Companions of O. R. Tambo (Gold),
2004
Tanzania: Order of the Uhuru
Torch (Second Class), 2011
Honorary degrees
University of the Philippines Los
Baños, Doctor of Laws, 1980
University of Maiduguri, Doctor of
Humanities, 1983
University of Mauritius, Doctor of
Civil Law, 1991
University of Khartoum, Doctor of
Arts in International Affairs, 1995
University of Bologna, Doctor of
Philosophy in International
Relations, 1996
University of Cape Town, Doctor of
Laws, 1998[4]
Addis Ababa University, Doctor of
Laws, 2003[5]
 
Mafanikio (archievements) unapimaje? Sio kwa nyadhifa alizopitia, madaraka aliyotumia? Na mambo yaliyofanyika ktk utumishi wake....unazungumza ya mkapa aliyoondoka madarakani ameacha hela nyingi hazina ss mnaishia kukopa hela zetu NSSF? Pima mafanikio kwa vitendo.Hakuna serekali/kiongozi atakae kaa madarakani bila kufanya makosa ss yatumasa kulinganisha makosa na mambo sahihi aliyofanya ndio tutapata mafanikio...achievements

Mafanikio huwezi kupima kwa nyadhifa alizoshika, hata Adolf Hitler alichaguliwa kuwa Chancellor wa Germany akajionyesha ni madman.

Ukimpima Kikwete kwa nyadhifa alizoshika akafanikiwa sana, kaanza uongozi tangu kwenye student government huko, kapitia ngazi za kati za chama mikoani, kaingia bungeni, kawa naibu waziri tangu akiwa kijana sana, kawa waziri wa Nishati na Madini, Fedha na Mambo ya nje (kwa miaka 10). Kama nyadhifa ndo mafanikio Kikwete by the time anakuwa rais alikuwa kashafanikiwa sana. But this is an oligarchy, not a meritocracy. Kikwete alifanya nini kukubwa kabla ya kuwa rais kumfanya astahili kuwa rais?

Hili ni moja ya matatizo yetu wabongo. Watu wanaulizwa kwa nini huyu awe rais, wanajibiwa kwa sababu kashakuwa PM na Secretary General wa OAU. Bila kuzama sana katika alichofanya, as if kushika ofisi tu ni qualification.

Angalia Achahasira alivyolist mi vyeo na mi accolades hapo juu, ukiuliza kafanya nini na mi vyeo yote hiyo unaambiwa kaleta misaada ya magari jeshini, really? Is this the best we can do? Mimi nilifikiri nitaambiwa kaanzisha kiwanda cha magari ambacho kina produce magari yetu mpaka leo, naambiwa kaleta magari? ya misaada tena?

Mkapa kafanikiwa nini sasa? Hakuweza hata kuhakikisha mtu sane anam succeeed Ikulu. Hizo hela za hazina zimewafanyia nini wananchi wa kawaida? Mkapa gani kafanikiwa? Huyu huyu aliyeingia Ikulu kama Mr. Clean na kumshushua Kitwana Kondo asijipendekeze kwake (atangaze pongezi zake gazetini) wakati huo huo akichikichia Range Rover aliyopewa na Andy Chande na kujimilikisha mali za umma kama some medieval king?

The only reason you would see Mkapa as a success is because you are comparing him to bigger failures.

In the middle of the desert, any muddy and cloudy seeding water is a godsent oasis I will grant you.

But don't try to make it into pristine spring water with a few unavoidable specks of dust.
 
Sijui umezaliwa mwaka gani kwani wakatiDr Salim anakuwa waziri mkuu inaonekana ama ulikuwa mtoto au ulikuwa ujaanza kufatilia siasa ila ni mtu asiyependa kutumia magazeti kujionyesha kama wanasiasa wetu uchwara na alianza kupigwa vita zamani sana na ndio maana Nyerere akaamua kumpeleka un alitakiwa awe rais baada ya Nyerere kustaafu labda ungeuliza kama kuna ufisadi wowote amewahi kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom