Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,798
- 18,037
Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais wa JMT kupitia ACT Wazalendo mwaka 2015 na kushindwa. Baadaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa katika serikali ya CCM. Mwaka 2020 Queen Sendiga aligombea Urais kupitia ADC na kushindwa. Naye baadaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa katika serikali ya CCM.
Je lengo la Dorothy Temu kugombea Urais kupitia ACT Wazalendo ni kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa baada ya Uchaguzi Mkuu? Kwa vyo vyote vile Dorothy Temu hawezi kushinda Urais, hilo analijua na Chama chake cha ACT Wazalendo kinajua.
Je lengo la Dorothy Temu kugombea Urais kupitia ACT Wazalendo ni kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa baada ya Uchaguzi Mkuu? Kwa vyo vyote vile Dorothy Temu hawezi kushinda Urais, hilo analijua na Chama chake cha ACT Wazalendo kinajua.