Neno dini kwa ujumla wake linaelezea mfumo wa imani, maadili, na taratibu za ibada zinazomunganisha mwanadamu na nguvu ya kiungu au utaratibu wa kiroho.Dini ni nini?
Basi AI(Akili mnemba) haiwezi kuwa dini.Neno dini kwa ujumla wake linaelezea mfumo wa imani, maadili, na taratibu za ibada zinazomunganisha mwanadamu na nguvu ya kiungu au utaratibu wa kiroho.
Maana ya neno hili inaweza kutazamwa katika nyanja kuu tatu:
1. Maana ya Kilugha na Asili
Asili ya Neno:
Neno "dini" lina asili ya Kiarabu linalomaanisha "njia," "malipo," au "unyenyekevu". Kwa upande wa lugha za Kimagharibi (kama Kiingereza religion), chimbuko lake ni neno la Kilatini religio, linaloashiria heshima kwa kile kilicho kitakatifu au wajibu wa kimaadili.
Tafsiri ya Kijamii:
Wataalamu wa jamii (sociologists) huielezea dini kama mfumo wa pamoja wa imani na vitendo vinavyohusu mambo matakatifu, ambao huunganisha watu katika jamii moja ya kimaadili.
Maslahi ya mada:
Mimi ni Mkristo mlokole lakini niliyebahatika kuisoma dini ya shetani na kuhudhuria ibada zao walau mara moja
Dini zinazomwamini Mungu mmoja bado zina nguvu sana, mitandao mikubwa na wafuasi wengi duniani
Hivyo basi hakuna ushahidi wa kisayansi, kisiasa, au kijamii unaothibitisha kuwa ushetani (Satanism) utatawala dunia hivi karibuni. Madai haya mara nyingi hutokana na tafsiri za kidini, nadharia za njama (conspiracy theories), au hofu ya mabadiliko ya kijamii na kiteknolojia.
Na Ili kuelewa hali halisi, ni muhimu kuzingatia mambo yafuatayo kuhusiana na hii dini ya shetani
Tafsiri halisiya Ushetani ni ipi?
lMakundi mengi ya kisasa yanayojitambulisha kama "Satanists," kama vile The Satanic Temple nchini Marekani, hayaabudu shetani kama kiumbe halisi. Badala yake, hutumia jina hilo kama ishara ya uhuru wa mawazo, kupinga mamlaka ya kidini, na kutetea haki za binadamu na usawa... Kwa tafsiri nyingine kengefu "Mpinga Kristo"
Lakini vilevile kuna hii hali ya Kidini Duniani, Takwimu zinaonyesha kuwa dini kuu kama Ukristo na Uislamu bado zina wafuasi wengi zaidi duniani. Wakati huo huo, kuna ongezeko la watu wasiofungamana na dini yoyote (atheists/agnostics), jambo ambalo baadhi ya watu hulitafsiri kimakosa kama ukuaji wa ushetani... Yaani kutoamini katika Mungu mkuu ni ushetani ama ni upagani..
Kuna hizi pia nadharia za kufirika zilizokosa ithibati jadifi, Katika mitandao ya kijamii, kuna taarifa nyingi zinazodai kuwa viongozi wa dunia au watu maarufu ni sehemu ya "Illuminati" au vikundi vya siri vya kishetani. Hata hivyo, mara nyingi madai haya hukosa uthibitisho na hutumiwa kuelezea matukio magumu ya kisiasa, kiuchumi mahusiano na imani
Kuna hili pia la uhuru wa Kuamini:
Katika nchi nyingi, sheria zinaruhusu uhuru wa kuabudu, jambo linalofanya makundi mbalimbali madogo (ikiwemo yale yanayohusishwa na ushetani) kuonekana zaidi hadharani kuliko zamani, lakini hiyo haimaanishi kuwa yanachukua utawala wa dunia.
Kwa ufupi, wakati kuna mabadiliko makubwa ya kimaadili na kijamii ulimwenguni, wazo la "ushetani kutawala dunia" linabaki kuwa mtazamo wa kiimani au nadharia ya kijamii badala ya uhalisia wa kisiasa au kitakwimu.
Kwa leo naweka kituo hapa kesho tutaendelea na mama nyingine za ufahamu.. Tutakuwa na mada ya akili mnemba kama dini mpya duniani
Stay tuned!
Tafsiri yoyote ile unayoijua, mnaamini mambo ya kijinga sana mara uchawi mara satanic yaani ujinga tu. Na makundi ya wafia dini au waamini mambo kama haya wanaongoza kwa umaskiniUmaskini kwa tafsiri ipi
Huu ni mjadala huru huna haja ya kupaniki na kuanza kutoa povuTafsiri yoyote ile unayoijua, mnaamini mambo ya kijinga sana mara uchawi mara satanic yaani ujinga tu. Na makundi ya wafia dini au waamini mambo kama haya wanaongoza kwa umaskini
Acheni ujinga. Imani za kishamba zinawafanya mnakua kama mazombieHuu ni mjadala huru huna haja ya kupaniki na kuanza kutoa povu
Hebu toa tafsiri ya 'umaskini' unayoujua wewe!
Jews wanaamini kuwa Yesu huyu ambaye wengi wamemsoma katika biblia bado hajaja bado kwa sababu wanaamini kuwa atatoka katika uzao wa Daudi na suleiman na ili uonekane ni uzao wa Daudi wao wanaamini ni hadi utoke ukoo wa "baba" sasa basi Yusufu ambaye alikuwa amemchumbuia maria ambaye inasadikika alikua bado ni bikra ndie aliemzaa yesu kwa Uwezo wa Roho mtakatifu wao wakasema aliezaliwa hakuwa yule Yesu (yeshuha) ambaye waliahidiwa kwa sababu hakutoka katika viuno vya "mwanaume" "baba" hivyo sio damu ya ukoo w DaudiSio nje ya mada ni sehemu ya mada pia
Katika kitabu cha Ufunuo, mnyama huyu mara nyingi anatambuliwa kama Mpinga Kristo (Antichrist). Tabia yake kuu ni kupinga mamlaka ya Mungu na kukataa kuwa Yesu ndiye Masihi au Mwokozi.Jews wanaamini kuwa Yesu huyu ambaye wengi wamemsoma katika biblia bado hajaja bado kwa sababu wanaamini kuwa atatoka katika uzao wa Daudi na suleiman na ili uonekane ni uzao wa Daudi wao wanaamini ni hadi utoke ukoo wa "baba" sasa basi Yusufu ambaye alikuwa amemchumbuia maria ambaye inasadikika alikua bado ni bikra ndie aliemzaa yesu kwa Uwezo wa Roho mtakatifu wao wakasema aliezaliwa hakuwa yule Yesu (yeshuha) ambaye waliahidiwa kwa sababu hakutoka katika viuno vya "mwanaume" "baba" hivyo sio damu ya ukoo w Daudi
Na wanamini masiha atakuja kutokomeza vita zote n.k
Ndio maana hadi sasa Jews hawaamini ukristo
katika kitabu cha ufunuo kinamuelezea mnyama kama aliepinga kuwa Yesu hakuwa masihi
Israel -jews watafanya kila namna kushirikiana na uyo US hapo baadae walw ambao wataenda kinyume nao watapata cha mtema kuni
Ufunuo 13:11. (Mmarekani anapembe 2.. )
Ufunuo 13:12 (mnyama wa kwanza- hao jews )
Ufunuo 13:13-18
Ufunuo 13:1__ anamuelezea israel _ jews
Nimeandika kwa uelewa wangu lakini.