Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,915
pole sana mkuu nilishawahi kukutana na situation kama hiyo.mchumba wangu alikuwa na mimba na hakuwa tayari kuzaa,nilijitahidi sana kumconvince yeye alichokuwa anataka ni abortion tu.Sababu nilikuwa nahitaji mtoto tena wa kwanza mda wote nilikuwa na hofu ya mimba kutolewa,hata alipokuwa akiniaga anakwenda mjini nilichokuwa nawaza ni hicho tu,aliyenisaidia alikuwa ni bestfriend wake ambaye alimwambia ukitoa mimba bila ruhusa ya mwenye mimba waweza kufa na akamwambia watu wengine kwenye koo zao mimba zao huwa hazitoki ukizitoa waweza kufa hivyo itabidi ushauriane na mwenye mimba.Alipokuja kwangu alijifanya kunitega kwa maswali kama kwetu watu wanakufaga kwa kutoa mimba.sababu best yake alishaniambia mchezo wote aaah kwangu ilikuwa kama kuua tembo kwa ubua.nilimpa takwim za uongo tena huku machozi yakinilengalenga.now i am a dad of three months healthier baby!!.Dawa za minyoo hazitoi mimba ila kwa ushauri Hasinywe dawa yoyote bila ushauri wa daktari sababu mimba ni special case na hata wauza madawa hawakubali kutoa dawa kwa wajawazito bila cheti labda isiyoonekana kama ya girlfriend wako.
Jamani asanrteni sana kwa ushauri na maoni yenu mbalimbali.
Mmenifungua akili yangu finyu na nimetua lile zigo la mawazo nililokuwa nalo.
Nasema asanteni sana.
Kweli hiki ni kisima cha maarifa.
thanks mkuu sasa dosage inakuwaje kuna Pharmacy nimekutana na jamaa ananiambia kama nina tatizo sugu la minyoo naweza kutumia kwa siku tatu mfululizo je hii ikoje?Sina uhakika Zentel (albendazole) kama inatoa mimba au la, lakini haishauriwi kuitumia kwa wajawazito.
Nadhani maelezo haya hapa chini yatasaidia:
ZENTEL is used to clear worms or parasites from the gut and other tissues. ZENTEL is effective against threadworm or pinworm, roundworm, whipworm, tapeworm and hookworm among others.
ZENTEL is thought to kill these worms by causing them to starve. The eggs, larvae and adult worms are affected.
Do not take ZENTEL if:
* you have had an allergic reaction to albendazole or any of the other ingredients contained in thismedicine. Albendazole is also contained in Eskazole. The ingredients are listed at the end of this leaflet. Signs of an allergic reaction may include an itchy skin rash, shortness of breath and swelling of the face or tongue.
* if you have taken albendazole before and became unwell, tell your doctor or pharmacist beforetaking the first dose.
* you are allergic to medicines similar to albendazole such as mebendazole (Sqworm, Vermox)or thiabendazole (Mintezol).
* YOU KNOW OR SUSPECT YOU ARE PREGNANT. Pregnancy must be avoided (ie use effective contraceptive measures) during treatment, and for one month after stopping ZENTEL. In order to avoid taking ZENTEL during early pregnancy, treatment with ZENTEL should only be started during the first week of having your period or after a negative pregnancy test.
* you are breast feeding. Your baby can absorb albendazole from breast milk if you are breast feeding. Breast feeding should be stopped while taking ZENTEL, and for at least 5 days after finishing treatment.
* the expiry date printed on the pack has passed.
* the packaging is torn or shows signs of tampering.
ZENTEL is not recommended for children under 2 years of age. Do not give this medicine to anyone else; your doctor has prescribed it specifically for you and your condition.
Source: www.betterhealth.vic.gov.au
thanks mkuu sasa dosage inakuwaje kuna Pharmacy nimekutana na jamaa ananiambia kama nina tatizo sugu la minyoo naweza kutumia kwa siku tatu mfululizo je hii ikoje?
Sina uhakika Zentel (albendazole) kama inatoa mimba au la, lakini haishauriwi kuitumia kwa wajawazito.
Nadhani maelezo haya hapa chini yatasaidia:
ZENTEL is used to clear worms or parasites from the gut and other tissues. ZENTEL is effective against threadworm or pinworm, roundworm, whipworm, tapeworm and hookworm among others.
ZENTEL is thought to kill these worms by causing them to starve. The eggs, larvae and adult worms are affected.
Do not take ZENTEL if:
* you have had an allergic reaction to albendazole or any of the other ingredients contained in thismedicine. Albendazole is also contained in Eskazole. The ingredients are listed at the end of this leaflet. Signs of an allergic reaction may include an itchy skin rash, shortness of breath and swelling of the face or tongue.
* if you have taken albendazole before and became unwell, tell your doctor or pharmacist beforetaking the first dose.
* you are allergic to medicines similar to albendazole such as mebendazole (Sqworm, Vermox)or thiabendazole (Mintezol).
* YOU KNOW OR SUSPECT YOU ARE PREGNANT. Pregnancy must be avoided (ie use effective contraceptive measures) during treatment, and for one month after stopping ZENTEL. In order to avoid taking ZENTEL during early pregnancy, treatment with ZENTEL should only be started during the first week of having your period or after a negative pregnancy test.
* you are breast feeding. Your baby can absorb albendazole from breast milk if you are breast feeding. Breast feeding should be stopped while taking ZENTEL, and for at least 5 days after finishing treatment.
* the expiry date printed on the pack has passed.
* the packaging is torn or shows signs of tampering.
ZENTEL is not recommended for children under 2 years of age. Do not give this medicine to anyone else; your doctor has prescribed it specifically for you and your condition.
Source: www.betterhealth.vic.gov.au
Jojipoji,
Usiitumie dawa hiyo kama hujaandikiwa na daktari (mfamasia anaweza kukupotosha!).
Ni vema ukafanyiwa uchunguzi kwanza kabla ya kuanza kuitumia. Prescription daktari ndio atakaye andika kutokana na matokeo ya uchunguzi wake.
Pole sana.