Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 920
- 2,956
Apa nmekuelewa kiongoz kama umepewa barua ya kufukuzwa kazi ikionyesha kama hujardhika na maamuz haya ukate rufaa tume ya utumish ndan ya izo Sku 45 unaweza shda na kurud kwenye ajira? Na je ukshapewa barua ya kufukuzwa kaz kwa taasis iz za umma nn knafata nkmansha barua haionyesh benefit zako n zp na utatakiwa kurudisha ktambulsho au name bage au kuna barua nyingne itafata baada ya kupewa hyo ya kufukuzwa kazBasi ndio nimekuambia mkuu usipoteze muda maana ana siku 45 za kuwasilisha rufaa yake japo hajaambiwa so ana advantage flan