kisugujira
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 774
- 196
Muhogo wa Jang'ombe nani kakuambia Bi Kidude anataka propaganda chafu? Yeye siku nyingi alishaukwaa urais katika fani ya muziki wa taarabu duniani. Sasa leo wanamagamba mnataka kumnadi na kuutumia umaarufu wa Bi Kidude kusafisha nyota yenu?
Kweli mumechoka sana kama Bi Kidude alivyochoka kwa uzee,faraja yake ikiwa sigara na bia baada ya serikali yake kutoutambua na kuuthamini mchango wake katika fani ya muziki wa taarabu kwa muda wote wa miaka 50 ya uhuru.
Kweli mumechoka sana kama Bi Kidude alivyochoka kwa uzee,faraja yake ikiwa sigara na bia baada ya serikali yake kutoutambua na kuuthamini mchango wake katika fani ya muziki wa taarabu kwa muda wote wa miaka 50 ya uhuru.