Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,836
- 99,801
Ukiwaamini CCM utakuwa na matatizo.
Njaa mbaya sana mkuu menena neno kubwa sana, wanasiasa wetu wana njaa kubwa sana, kasoro Dr Slaa waliobaki wote ni njaa tu. Kina Mbowe, Mnyika, Lissu na kina Msigwa hata wachungaji walituaminisha Lowasa ni fisadi lakini baadae wakatuambia ni malaika wa bwana. Kina Nape na wenzake waliisifia serikali ya Kikwete leo wanaiponda hiyo hiyo. nani wa kumwamini?Njaa mbaya sana aiseee....
Walikua wanatete matumbo yao
Sina la ziada bali kusema umenena ukweli, ila la nyongeza waeleze hawa wanaowapigania kina UKAWA kuwa wanataka kulikomboa hili Taifa wakati wamekula matapishi yao.Moja ya sifa ya kiongozi mnafiki ni UONGO.Mnafiki huwa anaweza kutokwa povu mdomoni kwa kutetea asichoamini.Na viongozi wa namna hii wanafikiri kwa kutumia TUMBO na MIGUU kwani elimu zao,akili zao,uadilifu wao na uzalendo wao huwa LIKIZO.Ubinafsi ukikithiri na akili nayo HUVIA.Ni viongozi ndumilakuwili,viongozi wenye sura mbili.Kiongozi mnafiki ni hatari lakini ndio hivyo wamejaa teele nchini.
iwapande kichwani mara ngapi??? wameishachanganyikiwa tayari ...Nja kweli shidaa, itakuja kuwapanda kichwan wee ngoja